TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Shida nini mpaka uzi ufungiwe
 

Tuki assume waliochangia uzi huu ni wa Tamzania.

Ni watu 2400 kati 50,000,00+ waliochangia uzi huu. Ni asilimia ndogo.sana waliopata mafasi ya kuchamgia hivyo si vema kufunga uzi, uachwe kama kuna wachangiaji zaidi waendelee kuchangia.
 
Hivyo ndiyo ilivyoandikwa Roho mtakatifu kwa kigiriki?
Ubishi wenu ni wa kipumbavu, nendeni jukwaa la dini huko au kwenye vijiwe vya kahawa. Huu uzi ni wa taarifa ya msiba.
Zama hizi bado kuna watu wanabishania dini!!!????
 
Ubishi wenu ni wa kipumbavu, nendeni jukwaa la dini huko au kwenye vijiwe vya kahawa. Huu uzi ni wa taarifa ya msiba.
Zama hizi bado kuna watu wanabishania dini!!!???? Ujinga Ujinga Ujinga
 
Ubishi wenu ni wa kipumbavu, nendeni jukwaa la dini huko au kwenye vijiwe vya kahawa. Huu uzi ni wa taarifa ya msiba.
Zama hizi bado kuna watu wanabishania dini!!!????

Neno la Msalaba kwao waliopotea ni ujinga/upumbafu bali kwa walio okolewa na kuipokea imani ni uzima wa milele. Sikushangai na kuonea huruma tu.
 
Mwisho wa ubabe na udikteta ......sikutakii mema.huko uendako......asante Yesu
 
Kuna conspiracy theories nyingi.

1.Ugonjwa wa kweli Kama ilivyosema serikali.

2.Wajanja walitempa na pacemaker kwa kutumia vifaa maalum vinavyoharibu mfumo wa mawimbi ya mapigo ya moyo yanayoratibiwa na pacemaker.
Ni kama bado sijaelewa.
 
Kila nikisoma huu uzi nafarijika sana kwa hili tangazo
 
Unahasira hadi na komenti zetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubishi wenu ni wa kipumbavu, nendeni jukwaa la dini huko au kwenye vijiwe vya kahawa. Huu uzi ni wa taarifa ya msiba.
Zama hizi bado kuna watu wanabishania dini!!!????
kwani hivyo ulivyoandika unabishania kitu gani ?? msibaπŸ˜›πŸ˜›
 
Tunapomalizia siku 21 za maombolezo imanibidi nimalizie kwa kuiruhusu adhabu hiyo ifanye kazi endapo kuna 'fault play' ilifanyika kupelekea kumpoteza shujaa wetu aliyeacha 'road map' ya kuifikia Kaanani yetu! Nchi ambayo ingekuwa zaidi ya nchi ya Gaddafi wakati akiwa hai! Baada ya kumaliza miradi ya kimkakati, kingefuata elimu bure mpaka chuo kikuu kokote duniani! Huna ajira unapewa mtaji! Nk!
Mungu wetu Mwema, tunaomba kwa kadri ya wingi wa rehema zako, Umpe pumziko la amani la milele, mwanao, shujaa wetu Mh. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, rais wetu mpendwa sana wa serikali yetu pendwa sana ya awamu ya ✊, amenπŸ™πŸ™πŸ™!
Wakati huohuo, tunamuombea rais wetu mpendwa Mh Mama SSH rais wetu mpendwa umjalie moyo mkuu, wa ushujaa na hekima ili aliongoze vyema zaidi taifa letu la Tanzania! Mungu husika Mwenyewe ktk uongozi wa taifa letu, viongozi binadamu tulionao tunaomba uwatumie kama vifaa tu bali Wewe Mwenyewe Mungu uongoze Mwenyewe nchi yetu ya Tanzania πŸ™πŸ™πŸ™, amen!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…