Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukumuelewa, au umeamua tu kupindisha kwa maksudi yako mwenyewe.Kama watu wangekuwa wanakufa kwa sababu ya laana kutoka kwa watu fulani kwa mabaya waliyowahi kuyatenda, hii dunia ingekuwa imeshaishiwa watu wabaya!
Msingi wa yote ni katiba!Hivi Lema aliotaga nini vile?
Ila Karume no 7.4.1972.Maalim alifariki tarehe 17.2.2021
Magu amefariki tarehe 17.3.2021
Karume alifariki tarehe 17.4.1972
hii tarehe 17 sio nzuri kwa watanzania.
Kama alitenda mema atakaa pema ila kama alitenda mabaya usitegemee kwa sala yako atakaa pemaR.I.P rais na jemadari wetu, Mungu akuhifadhi na kukuweka mahali pema mbinguni.
Sio tu kuishi na watu vizuri bali kuchunga sana kauli. Huu mwezi umemeza vichwa vya kutosha na mashuhuri na ndio kwanza kuna siku za kutosha zimebakia.
Daah haichekeshi lakini nimecheka kila nikivuta taswira ya sura ya mzee mamvi [emoji1787][emoji1787]Lowassa kama namuona. Tukanyage kwa adabu Ardhi ya Allah.
Pole kwa msibaBalaa hili.
Tafadhali, acheni mzaha huo.Asprin kuna ubaya akiongoza jk?
Karume ni tarehe 7.4.1972Maalim alifariki tarehe 17.2.2021
Magu amefariki tarehe 17.3.2021
Karume alifariki tarehe 17.4.1972
hii tarehe 17 sio nzuri kwa watanzania.
Kaka Kaka Kaka mkubwa shikamooooo
yesMsicho jishughulisha nacho ktk clip ya mama samia ni namna anavyo vuta pumzi kwa shida. Mnapaswa kumwombea huyu Mama.