TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Wale mataga walikuwa wanasema aongeze muda sijui watasemaje?
JK mtu wa maneno maneno atatuharibia nchi tena; labda kama Mkapa angekuwa hai angekuwa ni nguzo nzuri lakini siyo huyu JK! Watu wanamkumbuka JK kwa meneno maneno ya kujisikia vizuri, hela kutoka njia za mkatomkato na mishen town lakini siyo kwa mambo thabiti ya kitaifa.
 
We ngoja mambo yachanganye watu si wanaona ni heri ila tutamkumbuka sana kwa mazuri ila kwa kweli hichi kifo cha huyu mtu kimenitoa katika amani ya moyo sana, hakuna binadamu mkamilifu
Kwa hawa waliibaki pale CCM sioni wa kumlinganisha nae kwa kuchapa kazi, msimamo, kuthubutu n.k

Hawa waliobaki walaini sana
 
Hukumuelewa, au umeamua tu kupindisha kwa maksudi yako mwenyewe.

Hakuna popote katika andiko lake alipoandika kuwa sababu ya kifo chake ni hayo aliyoyaorodhesha.

Mimi nitaongeza kwenye orodha yake ambayo hakuyaweka.

- Kiburi

-ujuaji mwingi

- ubishi

Hizi siyo sifa nzuri kwa kumbukumbu ya kiongozi.

Ndiyo, yapo mazuri, na tunaweza pia kuyaorodhesha

Haya yote ni irrelevant. Did you know that a great deal of the most transformative leaders/people never make it to the target finish line? Wote wanaondoka kwa sababu mnazozioredhesha?
 
Daah haichekeshi lakini nimecheka kila nikivuta taswira ya sura ya mzee mamvi [emoji1787][emoji1787]

Komba
Kombani
Sita
And now here we go again....

Mzee Lowasa bado inadunda

God is great
 
Komba
Kombani
Sita
And now here we go again....

Mzee Lowasa bado inadunda

God is great
Pia tusipuuze miti shamba aisee, Mimi Nina Uhakika mtu kama Ole sendeka na ule mwili na E. Lowassa madawa ya asili ya Masai imewasaidia mno.
 
JK mtu wa maneno maneno atatuharibia nchi tena; labda kama Mkapa angekuwa hai angekuwa ni nguzo nzuri lakini siyo huyu JK! Watu wanamkumbuka JK kwa meneno maneno ya kujisikia vizuri, hela kutoka njia za mkatomkato na mishen town lakini siyo kwa mambo thabiti ya kitaifa.
Naanza kuuona ukungu uliotanda ukiondoka.

Safi sana!
 
Natoa salam za rambirambi kwa familia ya JPM kwa kuondokewa na baba katika familia, a breadwinner 😥
 
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie, apumzike kwa amani amina.

Pole sana mama Janeth na watoto.

Poleni sana watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom