Akili za kipa katoka na Bosi kalewa hiziHakika taifa letu limempoteza Mtu ambaye si rahisi kumpata, kwakweli ni mshituko mkubwa ndani ya Taifa letu.
naona kiza kinene kimetanda kila kona lkn Tunamuomba Mungu atuvushe salama ktk kipindi hiki kigumu.
Kazi yake ni kumlimda Rais,sio kumlinda Magufuli, unamzungumzia tupi kwanza mwenye sare ya jeahi au yule bonge.WAKUU HIVI YULE BODYGUARD ALOKUA NYUMA YA RAISI ATAHAMIA KWA MAMA SAMIA AU NDO NAYEYE ATAENDELEA NA MAJUKUMU MENGINE?
Mwenye sare ya jeshi mkuu.Kazi yake ni kumlimda Rais,sio kumlinda magufuli,,,unamzungumzia tupi kwanza mwenye sare ya jeahi au yule bonge
Ukiongezea na wale mabonge ntashkuruKazi yake ni kumlimda Rais,sio kumlinda magufuli, unamzungumzia tupi kwanza mwenye sare ya jeahi au yule bonge.
Hawa ni maajenti wa Ufalme wa giza.Watu kama hao wanaboa sana mzee
KabisaHuku nikutafutiana Ban tu
Wote tutakufa, tunasubiri mda tu.Jirani yangu kanialika kunywa bia na nyama leo jioni