TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Kweli
Kweli kisasi aachiwe Mungu
Ni kutokana na korona. Korona ikimpata mwenye maradhi mengine haponi.
 
Kweli alimuweka mbele sana Mungu na ndivyo inavyotakiwa kwa kila mwanadamu.Hata hivyo hii kwa Mungu mwenyewe anaweza kuiona ni kama dhihaka pale anaposhindwa kuwaweka mbele na wale wanaosimamia mipango ya Mungu duniani kama vile masheikh.
Kwa vile masheikh walikuwa na masononeko na dua zao za kichinichini hivyo ni rahisi Mungu kuwasikiliza na kumlaani yule anayewadhalilisha hata ikiwa kinywani kwake anamtukuza Mungu.
Moja ya adhabu Mungu aitoayo kwa aliyemlaani ni ugonjwa wa kiharusi....kushindwa kutoka ndani na kusema angalau kwa muda fulani.
 
Of course time heals everything. Mabaya yake tutasamehe na mazuri yake tutayaenzi.
We will tell our kids the story of his life and let them have their own opinions.
 
Kuna vita kubwa ndani ya maccm Mkuu ili huyu mama asichukue nafasi hiyo. Ngoja tusikilize itakuwaje huu mvutano.
Katiba inalazimisha Makamo achukue kiti hicho.
Kama kuna wana CCM wanahangaikia nafasi hiyo watateseka tu.
Na nadhani wazee wa chama hicho watakuwa upande wake.
Achana tuone
 
Kifo kinaumiza lakini kipo.
Ukiwa mwenye kukumbuka kifo mara kwa mara utawatendea wenzako yaliyo mema
 
R.I.P jembe tutakukumbuka sana tena sana maana ni mengi umeyafanya Mungu akupubguzie adhabu ya kaburi,[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Unazingua kwanini ulog out
 
Sasa kama ni hivyo kwann lisu kupigwa risasi akalaumiwa magufuli kwani yeye ndo alishika mtutu?
 

TAGA boy, porojo zako za humu bora umeziombea rehema.
 
Oh! Magufuli Umezima Ghaflna kama mshumaa kwenye upepo Mkali!!!
Watanzania walikuwa bado wanadhani tutakuwa pamoja ktk miaka hii 5 iliyo baki lkn wapi umetuacha tukiwa midomo wazi........oh...ohhh
umetuacha kwenye kiza kinene!!
machozi yanatutoka, nani atatusemea? nani atatutetea? nani ....nani?
nani atapaza sauti bila kigugumuzi kuwa tetea wanyonge?
wengi tulikuwa na matumaini makubwa ktk awamu yako hii ya pili ya miaka 5......
watanzania tumeumia sana sana.
Mbuyu umeanguka njia zote zimeziba hakuna pa kupita.
pumzika kwa Amani JPM.
Daima utabaki ktk vitabu vya historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla.
 
Mmvii yupo mtaani anapeta tuu, anawaangalia tuu na kuwacheka akina bashite na msukuma waliosema ikulu hakuna ambulance na hawaendi wagonjwa,,, kweli Mwenyezi Mungu hadhiakiwi!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…