Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Sawa basi umeshinda. Inaelekea unapenda sana ligi. Amini unachoamini
 
Acha kulisha udwanzi ...Investment ya fedha za viwanda huko China zinatoka USA china ni cheap labour
 
Mbaya zaidi Putin hajawahi kutoa msaada hata wa kiberiti
 
Tatizo moja la ukishakua Rais unashidwa kutambua adui wa kweli nani mwisho wa siku unajikuta chali na hiyo ni kuendekeza machwa wanaokuzunguka hakuna kitu kibaya kama kupenda kuskia mazuri tu mabaya yako utaki kuyaskia mwisho wao unakuaga sio mzuri.
 
Tatizo moja la ukishakua Rais unashidwa kutambua adui wa kweli nani mwisho wa siku unajikuta chali na hiyo ni kuendekeza machwa wanaokuzunguka hakuna kitu kibaya kama kupenda kuskia mazuri tu mabaya yako utaki kuyaskia mwisho wao unakuaga sio mzuri.
Anataka asifiwe kila saa
 
Naona hata alichoongea kilikua hakieleweki, analaumu kuwa Watu wamestushwa na kifo cha kibao lakini pia anasahau kuwa yeye kaagiza pia Polisi wampe report haraka..... eeghh MUNGU
 
Naona hata alichoongea kilikua hakieleweki, analaumu kuwa Watu wamestushwa na kifo cha kibao lakini pia anasahau kuwa yeye kaagiza pia Polisi wampe report haraka..... eeghh MUNGU
Kwa kifupi asingeongelea sana ile issue.

Maana tayari ma analyst wa M16 na CIA saivi wanasikiliza hotuba yake na kuandika opinion kwa viongozi wao.
 
Acha kulisha udwanzi ...Investment ya fedha za viwanda huko China zinatoka USA china ni cheap labour
Acha uzwazwa na ukae chini utafiti.
China kufikia 1992 ilikua ina viwanda ELFU ARUBAINI NA TANO ambavyo ni FULL GOVERNMENT OWNED.
Japo baadhi vilikua vya watu binafsi ila vilikua na government subsidies.
Viwanda vingi vya China vikubwa na makampuni mengine ni government subsidies vikimilikiwa na China wenyewe.
Uwekezaji wa USA na wazungu ndani ya China hauwezi ukashindana na uwekezaji wa China wenyewe wazawa.
Kuanzia simu,nguo,magari n.k n.k.
 
It's a denial stage, and denial is never a solution to any problem.
 
Ingieni porini kama hamtishwi ili uone kweli Putin ndo anategemewa?
 
Kazi yake kuu ni kuuza silaha. Kataitishwa na Ukraine saivi hadi anaenda kuomba silaha Iran na North Korea
Urusi silaha anazochukua Iran ananunua na N.Korea ananunua pia.
Russia ndio main distributor wa petroleum energy Eastern Europe na Western Europe,Germany asilimia kubwa ya nishati mafuta na gesi anategemea Russia
Pia Russia ni miongoni mwa wauzaji ngano wakubwa duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…