much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Andamane acheni porojoMie nimemtahadharisha tu kuwa njia anayotumia sio salama sana!
Kwa sababu nampenda kweli. Asitafute ugomvi na wale wakubwa wa dunia. Ni heri aishi nao kinafiki tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andamane acheni porojoMie nimemtahadharisha tu kuwa njia anayotumia sio salama sana!
Kwa sababu nampenda kweli. Asitafute ugomvi na wale wakubwa wa dunia. Ni heri aishi nao kinafiki tu!
Kitendo cha yeye kuanza kununua silaha kwenye vita ndogo aliyodhani angeshinda ndani ya wiki unakichukuliaje?Urusi silaha anazochukua Iran ananunua na N.Korea ananunua pia.
Russia ndio main distributor wa petroleum energy Eastern Europe na Western Europe,Germany asilimia kubwa ya nishati mafuta na gesi anategemea Russia
Pia Russia ni miongoni mwa wauzaji ngano wakubwa duniani.
Nani kasema ana andamana?Andamane acheni porojo
NDIYO KINGA YENU CHADEMA? MABALOZI SIYONaona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Nani kakwambia mimi Chadema?NDIYO KINGA YENU CHADEMA? MABALOZI SIYO
Haya jitatanue kama msemaji wa Saddam.Mwanaume wa Dar Bwana!! Kuogompa tuuu!!
Mipasho imezidi,eti kifo ni kifo tu kwa nini mzee Kibao kelele zipigwe zaidi.Huyu mama ame zowea tabia za uswahili. Ukiwa kiongozi hutakiwi kuwa mtu wa mipasho.
Mipasho waachiwe waimba taarabu
Kosugi, kuwa siriaz basi, yan Chombo cha usafiri,kama ndege iwe haijafanyiwa service toka mwaka 1970??? duh,kama ndivyo basiUsipotoshe watu kaka.
Hiyo helikopta aliyotumia Ebrahim Raisi ilikua ni outdated toka 1970s.
Na haikufanyiwa service toka mwaka huo.
Spare zenyewe USA walikataa kuwauzia Iran wakiwaekea zuio.
Kilichomuua ni uchakavu sio kuzimiwa mitambo.
Russia kununua silaha North Korea au Iran haimaanishi kaishiwa silaha.Kitendo cha yeye kuanza kununua silaha kwenye vita ndogo aliyodhani angeshinda ndani ya wiki unakichukuliaje?
Ndo mana nakuchukulia utakuwa mtoto mdogo sana. Huangalii mambo kwa upana wake.
Hatuwezi kupata maendeleo kwa kuiacha CCM madarakani!Naona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Akili za bawacha bwana hivi unajua ni kiasi gani mpaka Sasa USA pamoja na NATO na mataifa mengine wamewekeza Toka vita vimeanza kwenye vita unayoiona wewe ndogo?Kitendo cha yeye kuanza kununua silaha kwenye vita ndogo aliyodhani angeshinda ndani ya wiki unakichukuliaje?
Ndo mana nakuchukulia utakuwa mtoto mdogo sana. Huangalii mambo kwa upana wake.
Nyie ambao hamtishikiNani kasema ana andamana?
Sio mimi walosema ni wenyewe Iran.Kosugi, kuwa siriaz basi, yan Chombo cha usafiri,kama ndege iwe haijafanyiwa service toka mwaka 1970??? duh,kama ndivyo basi
1. Iran hawako makini
2. Iran wamemuua Rais wao
3. Irani hawajitambui
4. Iran ni maskini sana.
Haiwezekani, na haiwezekani toka mwaka ,1970 ndege iwe inafanya kazi bila service.
Taarifa yako ina walakini!
Kumbe hata hujauelewa uziNyie ambao hamtishiki
Na una amini kuwa Helcopter waliyompandisha Rais wao haikufanyiwa service tangu mwaka 1970'sSio mimi walosema ni wenyewe Iran.
Tokea utawala wa kiislam uingie waliwekewa vikwazo vya kununua hizo helikopta pamoja na spare zake.
Aya wewe niambie wangewezaje kuifanyia ukarabati kwa vifaa vya wapi!??
Sasa kama wamesema IRGC wenyewe ambao ndio walikua wanaitumia hiyo helikopta sana sana kama ambulance mie nibishe kwanini!??Na una amini kuwa Helcopter waliyompandisha Rais wao haikufanyiwa service tangu mwaka 1970's
We kweli zuzu