Magufuli inaelekea anapenda hawa wabunge mbumbumbu ambao hawawezi kuhoji chochote kinacholetwa Bungeni au kufanywa na serikali zaidi ya kuunga mkono kila kitu.Agombee akichukua usishangae na uwaziri akapewa.
Mjeshi gani huyo? Hamonize kichwani ni mtupu hata ukiangalia enterview zake huongea kijinga jingaKwa hapa wanachama wa Chadema lazima waponde maana wanajua mjeshi anaenda kuomba kupitia CCM
Hivi huoni kama wewe ndio litaahira zaidi kama unakubali kuongozwa na taahira?Nchi ilikabidhiwa kwa tahira!
yesu wa chattle. Hivi naye huwa anafufua watu kama Yesu Kristo?Sasa ulitaka wamtukuze shetani?
Mkuu sababu hamo katangaza nia? Kwangu Mimi namtakia kila la kheriTumefikia hatua mbaya kama taifa
Huyo ni yesu, mie namzungumzia Yesuyesu wa chattle. Hivi naye huwa anafufua watu kama Yesu Kristo?
Pata picha Hamonize akaungane na kibajaji, Msukuma na lijuakali hapo lazima waunde bendi ya taarabu Bungeni . aina hii ya wabunge majuha ndiyo wanapendwa na mtukufu ili iwe rahisi kupitisha katiba mpya inayofuta mfumo wa vyama na kuruhusu Tanzania kutawaliwa kifalume kama Oman, chinaMagufuli inaelekea anapenda hawa wabunge mbumbumbu ambao hawawezi kuhoji chochote kinacholetwa Bungeni au kufanywa na serikali zaidi ya kuunga mkono kila kitu.
Sasa kwa kulitambua hilo, hawa mbumbumbu hawateui mawaziri badala yake anatoa mawaziri wake kutoka kwenye taasisi mbalimbali zenye wasomi nguli ndio hao akina Prof. Ndalichako, Prof. Kabudi, Dk.Mpango. Hawa mbumbumbu kugonga meza na kuleta mipasho ni kazi inayowatosha.
Yajayo.......Tumefikia hatua mbaya kama taifa
Kwani usomi ndio sifa za ubungeHuko jimboni wamekosa wasomi mpaka uunge mkono hoja?
Unataka kugombea!? Kama huzijui toka nje utazionaHivi sifa za kuwa mbunge ni zipi?
Tutumieni na sisi tuzione hizo Papa zinazohitaji topazHahah ntakusaidia kukununulia topaz za jero ili ukinitumia picha next time papa iwe safiiiiiii.
Kwani hao wabunge wana kipi kipya kumzidi Harmonizer?Katiba haibagui lakini si kila mwenye haki kikatiba ana sifa ya kuwa kiongozi!
Kapitie maana na tafsiri ya kiongozi