Rasmi: Mbwana Samatta asaini miaka minne na nusu Aston Villa

Rasmi: Mbwana Samatta asaini miaka minne na nusu Aston Villa

huyu samata ni mchezaji wa pili kucheza epl, wa kwanza alikuwa mrisho ngasa, alikipiga west ham
 
Naona miaka minne ni mingi angalau ingekua miwili ili akatumikie vilabu vingine pale Epl akiwa bdo kinda assume saiz ana miaka 27.zaid nampongeza sana mana anaitangaza vema tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbwana Samatta itakuwa kama Jamie Vardy wa Leicester City wote wameingia England Premier League wakiwa wamechelewa lakini Vardy ni mnyama hatari ktk harakati za kulifumamia goal. Na staili ya uchezaji wa Mbwana Samatta na kasi yake upo kama wa Jamie Vardy hivyo tutegemee mabao mengi sana kila wiki toka kwa Mbwana . Tutasikia wimbo wa Sama Sama Goal ! kila mechi toka kwa wapenzi na mashabiki wa Aston Villa.



Source: LCFC

Namtabiria Samatta kuwika Aston Villa na msimu ujao Arsenal watapambana kumnunua kisha ataibeba Arsenal kukipiga tena UEFA.

Nidhamu yake,bidii na uungwana wake Samatta utamfikisha mbali maana kwa kweli kila Mtanzania anamuombea dua njema. Muhimu tuu, arudipo nyumbani ajiweke mbali na wanasiasa hasa wale wa pale mtaa wa kati watataka kutumia jina lake kwa manufaa yao ya kisiasa wa kati ni juhudi zake mwenyewe na dua za watanzania pekee ndio mafanikio yake.
 
Ma shaa Allah tunataka kumuona Samatta akisujudu kama Salah anapofunga goli au Papa anapotembelea nchi za mataifa.

Si unafahamu wenye kusujudu ni kina nani? Wewe umeshawahi kusujudu toka kuzaliwa?
Samatta akifunga huwa hasujudu hata siku moja sijawahi kumwona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lets not forget..An Aston villa player subject to a work permit and a clearance certificate.Work permit is such a hurdle.. but we wish him well.Hongera zake..
 
Mungu ni mwema. Kuanza au kuifikia ndoto unawish kuitimiza, sio jambo rahisi.
I got inspired by Samatta, that everything is posiible. Hope even me, I will live my dream.
 
Jitihada na Juhudi Uzalisha Mafanikio, Tusikate Tamaa Vijana Kuzitafuta Ndoto Zetu Licha Ya Yote Tutakayopitia.

Hongera Zako Samata, Juhudi Zake Zimewainua Mamia Ya Watazania Kuamin Kwenye Ndoto Zao.

HONGERA SANA MTANZANIA MWEZETU.
 
Lets not forget..An Aston villa player subject to a work permit and a clearance certificate.Work permit is such a hurdle.. but we wish him well.Hongera zake..
Mlezi wa timu ni mwanamfalme, unafikiri kuna longo longo hapo?
 
Back
Top Bottom