Rasmi: Yanga SC yaishinda Mabavu ya Kifedha Simba SC kwenye usajili wa Masoud Djuma

Pesa nyingi sana hiyo kwa mchezaji mmoja tu kwa timu zetu hizi, ingeweza kutumika hata kuboresha miundombinu ya klabu...
Hiyo si pesa nyingi kwa sasa. Pengine mchezaji kama yeye hapo baadaye atakua kununuliwa kwa takribani pesa zaidi ya hiyo.

2002 Ronaldo De Lima alikuwa na thamani ya $46.3 million, Mwaka 2019 Nicolaus Pepe (Arsenal) alikuwa na thamani ya €79 million.

Kila zama na zama zake!
 
Makapu amecheza ngapi??
Je wajua kuwa Makapu ana mataji Mengi kuliko hao wenzake?

By the way, rudi nyuma kidogo ujue kwanini nimerespond na hiyo quote.
 
Huku Jangwani atutaki mambo za kuchoteana Uzoefu, Huku inabidi uje na uzoefu wako hata kama una majeruhi mwili mzima.
Ni kweli kabisa, maana Saido, Sarpong na Fiston Abdou Razak ni wazoefu kweli kweli
 
Kakimbia njaa kama hujui.
Sasa binadamu akiwa na njaa si anakufa?

Binadamu akikaa siku 3 pasi na kula chochote ni lazima afe. Sasa mbona Carlos Guimares Calinho na ukizingatia amekaa pale ka muda wa miezi 6.

Au unapanga kutuambia kuwa binadamu ana uwezo wa kukaa miezi 6 bila kula? 😂
 

Mchezaji wa miaka 28 huwezi mpigia hizo hesabu, huo si umri wa kusajili ukitarajia kufanya biashara...

Ukiacha hilo, timu za Tanzania hazijawekeza sana kwenye biashara ya wachezaji (kuuza/kununua/kuuza), ukitazama mchezaji wa mwisho Yanga kuuza nje ni Msuva na kabla ya hapo sijui alikuwa nani usishangae akawa Papii Nonda Shaban
 
Ni kweli kabisa, maana Saido, Sarpong na Fiston Abdou Razak ni wazoefu kweli kweli

Hao sasa haana tatizo la uzoefu (Kimombo: Experience).

Hao wote ni Legends kwenye soka!

Nikimaanisha hao unaodhani hawana experience wameshapitia mikiki mikiki huko uarabuni na ulaya?
 
Kwani ni nani kakwambia Manji amehusika?
 
Mchezaji wa miaka 28 huwezi mpigia hizo hesabu, huo si umri wa kusajili ukitarajia kufanya biashara...


Hahahaha

Gonzalo Higuani alitoka Napoli kwenda Juventus kwa dau la €90m hapo ilikuwa mwaka 2016. Akiwa na Miaka 28.

Au Yanga SC wamekosea halafu Juventus amepatia?
 
Djuma Shabani ana tatizo sugu la ankle, tuombe awe amelipatia ufumbuzi vinginevyo atakuwa kama Saido Ntibanzokiza
 
Kwa yote uloyaandika hapa hatuna shida nayo na ikiwezekana Eng ataporudi tutaenda airport kumbeba tena!
 
Djuma Shabani ana tatizo sugu la ankle, tuombe awe amelipatia ufumbuzi vinginevyo atakuwa kama Saido Ntibanzokiza

Mbona atumzungumzii Shomari Kapombe au kwa sababu amesajiliwa Simba SC?

By the way, wala hatutegemei awe mchezaji wa kucheza mechi zote za Yanga SC. Ndio maana Kibwana Shomari yupo. Hata akiwa nje kwa wiki mbili nadhani Kibwana Shomari atazisimamia vyema hizo wiki mbili.
 
Kwa yote uloyaandika hapa hatuna shida nayo na ikiwezekana Eng ataporudi tutaenda airport kumbeba tena!

Kokote duniani unapo fanya kazi nzuri ni lazima Upongezwe.

Sidhani kama kuna kabira lolote hapa Bongo lisilo na utamaduni wa kupongeza jambo jema.

Nadhani akifika pale airport abebwe na mashabiki mpaka kwake Mikocheni. Itapendeza zaidi.
 
Djuma Shabani ana tatizo sugu la ankle, tuombe awe amelipatia ufumbuzi vinginevyo atakuwa kama Saido Ntibanzokiza
Haya Mara nyingi ni maneno yasiyo na msingi.

Kila timu ni lazima iwe na aina hiyo ya mchezaji.

Kama kweli angekuwa na hilo tatizo basi hizo timu nyingine kama alizoziainisha Manara zisingekuwa zinamuhitaji.
 
Hahahaha

Gonzalo Higuani alitoka Napoli kwenda Juventus kwa dau la €90m hapo ilikuwa mwaka 2016. Akiwa na Miaka 28.

Au Yanga SC wamekosea halafu Juventus amepatia?

Halafu akauzwaje baada ya hapo? ( Hiyo ndio mantiki ya nilichoandika juu pale)
 
Kipindi cha usajili ni kipindi ambacho mashabiki mazwazwa wa utopolo ndio wanakuwa na furaha kuliko hata mechi ligi kuu zikichezwa

Nadhani umekosea kutokuzingatia fulaha inayopatikana pale timu inapochukua Ubingwa.

Wana Jangwani wamekuwa na furaha mara 27. Ukilinganisha na Mikia ambao wamekuwa na furaha mara 21 tu. Yaani mara 6 zaidi.

Narudia tena. Mara 6 zaidi.
 
Halafu akauzwaje baada ya hapo? ( Hiyo ndio mantiki ya nilichoandika juu pale)
Sio kila mchezaji anaye sajiliwa kwa gharama kubwa analengwa auze kwa gharama kubwa zaidi. Lengo la awali ni kuwa msaada wake kwenye klabu husika kuendana na thamani yake.

Afrika hatujafikia kwenye mipango ya mpira wa kibiashara.

Baada ya msimu kadhaa ya mafanikio pale Juve, Higuaini alikwenda Inter Miami (Timu ya Beckham) on a free transfer.
 
Shomari Kapombe amekuwa akipata tatizo akiwa tayari ndani ya Simba. Huyu Djuma anasajiliwa na tatizo kabla hata hajaanza kucheza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…