Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Screenshot_20241115-142624.jpg
 
Takwimu zake nzuri sana. Labda kama kuna jambo jingine sisi hatulijui ila kama ni kwasababu ya matokeo wamemtoa mbuzi wa kafara tu.
 
Hongereni sana wanyamwezi wa Tabora, mmesababisha jirani kapaniki, Sasa anakurupuka na maamuzi ya hovyo😃
 
Kwa takwimu hizo hakustahili kufutwa kazi, mengine tuwaachie wenyewe.
 
Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)

Kundi la wapumbavu ni kubwa

Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?

Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga

Pumbavu
Acha watifuane...
Kumeanza kuchangamka sasa, ndani watu hawaelewani
 
Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)

Kundi la wapumbavu ni kubwa

Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?

Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga

Pumbavu
Hersi kamweka msomali mwenzake wala hakuna cha kushangaa
 
TAARIFA KWA UMMA

Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuutarifu umma kuwa umevunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Angel Miguel Gamondi.

Vilevile, Uongozi wa Young Africans Sports Club, umesitisha mkataba wa kocha msaidizi wa kikosi cha kwanza, Moussa Ndaw.

Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuwashukuru Makocha hao kwa mchango wao ndani ya Klabu yetu na unawatakia kila la kheri katika majukumu yao mapya.

Tayari mchakato wa haraka wa kutafuta Makocha wapya wa kikosi chetu cha kwanza umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.​

Daima Mbele Nyuma Mwiko.

Imetolewa na
Ofisi ya Mtendaji Mkuu (CEO)
Young Africans Sports Club
15.11.2024

View attachment 3152851

REKODI YA MAFANIKIO YA GAMONDI AKIWA YANGA

Kocha Gamondi alianza kukinoa kikosi cha Yanga katika msimu wa mwaka 2023/24 ambapo katika msimu huo aliweza kutetea ubingwa kwa msimu huo wa 2023/24

Aidha, ameweza kuchukua Ubingwa wa CRDB Federation Cup kwa msimu wa 2023/24 ambapo alimfunga Azam FC kwa mikwaju ya penati pale New Amani Complex Zanzibar

Ameifikisha Yanga katika hatua ya Makundi ya Klabu Bingwa Afrika mara mbili mfululizo. Mara ya kwanza msimu wa 2023/24 ambapo kwa miaka 25 Yanga ilikuwa haijawai kufika hatua hiyo na Gamondi aliifikisha baada ya kuiondoa Al Merreikh. Mwaka 2024/25 pia Gamondi ameiongoza Yanga kuingia hatua ya Makundi

Itakumbukwa kuwa kwa msimu wa 2023/24 Gamondi aliifikisha Yanga katika hatua ya Robo Fainali katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika ambapo aliondolewa kwa mikwaju ya penati na Mamelodi Sundowns

Aidha, kwa mwaka 2024 ameweza kuchukua Ubingwa wa Ngao ya Jamii kwa kuifunga Azam FC goli 4-1 ikiwa ni baada ya kuifunga Simba SC goli 1-0 katika hatua ya nusu fainali. Itakumbukwa pia msimu wa 2023 alifungwa kwenye fainali ya Ngao ya Jamii

REKODI ZA MICHEZO
Kwa ujumla Gamondi ameiongoza Yanga katika michezo 66 ambapo ameshinda michezo 53, amepoteza michezo 7 na kutoka Sare michezo 6.
  • Ligi Kuu NBC: Ameiongoza Yanga katika michezo 40; ameshinda 34, amepoteza 4 na kutoka sare 2
  • CRDB Federation Cup: Ameiongoza Yanga katika michezo 6; ameshinda michezo yote 6 bila sare wala kupoteza
  • Michezo ya CAF (Jumuisha hatua ya awali): Ameiongoza Yanga katika michezo 16; ameshinda michezo 10, amepoteza 2 na kutoka sare 4
  • Ngao ya Jamii: Ameiongoza Yanga katika michezo 4; ameshinda michezo 3, amepoteza 1 na hana sare
Wahenga walisema mgema akisifiwa tembo hutia maji, ndo hii Sasa.

Kuna sababu gani yakuipa team pressure na stress kipindi hiki?

Yaani we Mr. Hersi kama una mkono wako hapa basi saivi mi nishakutoa maana.

How comes?? Mechi 2 unakuja kumfukuza coacha?? Wakati unajua kabisa mbele Kuna jambo zito

How you ensure people that those were his faults and not leaders&players faults.

Aisee hapo ndo nimeona uongozi wa yanga nao mabwabwa kweli!?

Try to check out his records, is it true for this your decision??

Kwahiyo mnamtafuta koacha Ambae ataifundisha team na kuhakikisha hatakuja kufungwa??

Sawa endeleeni, ila mi sitashanga Kwa msimu huu kuona tukipoteza Kila kitu.

Simba this is your chance to make u strong and to be winner, never lose this chance.

lakini pia team zingine kuweni kama dodoma muwatie aibu Hawa mabwambwa
 
TAARIFA KWA UMMA

Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuutarifu umma kuwa umevunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Angel Miguel Gamondi.

Vilevile, Uongozi wa Young Africans Sports Club, umesitisha mkataba wa kocha msaidizi wa kikosi cha kwanza, Moussa Ndaw.

Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuwashukuru Makocha hao kwa mchango wao ndani ya Klabu yetu na unawatakia kila la kheri katika majukumu yao mapya.

Tayari mchakato wa haraka wa kutafuta Makocha wapya wa kikosi chetu cha kwanza umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.​

Daima Mbele Nyuma Mwiko.

Imetolewa na
Ofisi ya Mtendaji Mkuu (CEO)
Young Africans Sports Club
15.11.2024

View attachment 3152851

REKODI YA MAFANIKIO YA GAMONDI AKIWA YANGA

Kocha Gamondi alianza kukinoa kikosi cha Yanga katika msimu wa mwaka 2023/24 ambapo katika msimu huo aliweza kutetea ubingwa kwa msimu huo wa 2023/24

Aidha, ameweza kuchukua Ubingwa wa CRDB Federation Cup kwa msimu wa 2023/24 ambapo alimfunga Azam FC kwa mikwaju ya penati pale New Amani Complex Zanzibar

Ameifikisha Yanga katika hatua ya Makundi ya Klabu Bingwa Afrika mara mbili mfululizo. Mara ya kwanza msimu wa 2023/24 ambapo kwa miaka 25 Yanga ilikuwa haijawai kufika hatua hiyo na Gamondi aliifikisha baada ya kuiondoa Al Merreikh. Mwaka 2024/25 pia Gamondi ameiongoza Yanga kuingia hatua ya Makundi

Itakumbukwa kuwa kwa msimu wa 2023/24 Gamondi aliifikisha Yanga katika hatua ya Robo Fainali katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika ambapo aliondolewa kwa mikwaju ya penati na Mamelodi Sundowns

Aidha, kwa mwaka 2024 ameweza kuchukua Ubingwa wa Ngao ya Jamii kwa kuifunga Azam FC goli 4-1 ikiwa ni baada ya kuifunga Simba SC goli 1-0 katika hatua ya nusu fainali. Itakumbukwa pia msimu wa 2023 alifungwa kwenye fainali ya Ngao ya Jamii

REKODI ZA MICHEZO
Kwa ujumla Gamondi ameiongoza Yanga katika michezo 66 ambapo ameshinda michezo 53, amepoteza michezo 7 na kutoka Sare michezo 6.
  • Ligi Kuu NBC: Ameiongoza Yanga katika michezo 40; ameshinda 34, amepoteza 4 na kutoka sare 2
  • CRDB Federation Cup: Ameiongoza Yanga katika michezo 6; ameshinda michezo yote 6 bila sare wala kupoteza
  • Michezo ya CAF (Jumuisha hatua ya awali): Ameiongoza Yanga katika michezo 16; ameshinda michezo 10, amepoteza 2 na kutoka sare 4
  • Ngao ya Jamii: Ameiongoza Yanga katika michezo 4; ameshinda michezo 3, amepoteza 1 na hana sare
Uthenge..
#kuanzia Leo Mimi sio yanga
 
Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)

Kundi la wapumbavu ni kubwa

Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?

Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga

Pumbavu
Haya matusi ni kama huyo jamaa ni mwanao
 
Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)

Kundi la wapumbavu ni kubwa

Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?

Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga

Pumbavu
Mbona mapovu mkuu je umekula mchana
 
Back
Top Bottom