Israel hana uwezo, ni support kutoka US, UK, na UFARANSA yy mwenyewe hawezi hizo battle za waarabu ndio maana anasaidiwa kila kitu na USHatutaki lawama na kutiliana huruma sisi. Haya ngoja wayavagae sasa.
Yemen sio taifa DOGO, afu wana population ya mil 30+Kanchi kadogo kakimasikini kanaenda kuingilia vita ambayo haiwahusu….akili za hawa watu wanazijua wenyewe!
Wewe mpumbavu , kwamba hujui Houthis ndio serikali yenyewe ya Yemen au ?Ni kichekesho! Yemen ipi hiyo? Ile inayopelekeshwa puta na wahuthi? Bora hezbollah inajulikana ni adui wa israel na kichapo ilishachezea. Sasa hii yemen inataka nini kwa israel? Yemen inawashwa na itakipata cha moto toka israel isijaribu kujitia kiherehere kuishambulia israel
Ujinga ni mzigo pole sanaWewe endelea tu kutumia dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili utapona ukiziwacha watakurudisha tena Mirembe pole sana...[emoji2]
Inajalisha .kama ni vita ya waislamu Saudi Arabia na nchi zingine za waislamu si wangekua front? Au hizo nchi hakuna waislamu?Haijalishi. Lkn hivi vita dhidi ya waislam. Umeona kafiri Ukraine alipovamiwa? Hukusikia dunia?
Leo Israel ndani kumewaka kinoma japo wanajitutumua kuwa walidungua hayo makombora na hizo ndegeWasije anza kulia pale Israel itakapoanza kusafisha huko Yemen.
Yemen wameshiba tende na sharubati wanaanza kubweka. Wanajua kabisa kuwa tank za US zimepark hapo baharini zinamsubiri mtu yeyote ataketetea magaidi zimwakie barabara.
Embu kausha basi na vijimaneno vyako vya kukopi kutoka kwa waarabu wenye chuki na wayahudiMwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Ngumu hiyo. Waarabu wamegawanyika .marekani amejua kuplay card zake vizuri. Kuwait, UAE , Bahrain, Omani, Saudi Arabia nchi ambazo zipo karibu kabisa na palestina ana mkataba nao na kuna kambi za USA za majeshi yake. Saudi Arabia ana hisa nyingi sana kwenye makampuni ya marekani kama GM motors na General Electric so unaweza kuona hali halisi ilivyo ngumu hapo.Waarabu walitakiwa waungane ijulikane moja tu israel ifutwe
Tukana tu hakuna aliyekuzuia..Uwe unasoma vizuri ili utupunguzie dhambi ya kutukana ewe Alqaeda
Putin anamwaga moto tuu zelensky analalamika mataifa ya western yamemsaliti hivi sasa anaengaliwa ni Israel tu.Asee sa itakuwaje,mzee Putin yeye anasemaje huko
Israel hana uwezo, ni support kutoka US, UK, na UFARANSA yy mwenyewe hawezi hizo battle za waarabu ndio maana anasaidiwa kila kitu na US