Wewe mpumbavu , kwamba hujui Houthis ndio serikali yenyewe ya Yemen au ?
Hujui baba mwenye nyumba pale Yemen ni Houthis kama Hezbollah alivyo pale Lebanon ?
Mpaka pale wafanyabiashara wa silaha watakapobadili biasharaVITA HIZI SIJUI ZITAISHA LINI
Kwenye hizo nchi za kiarabu zote USA [emoji631] ameweka kambi zake za kijeshi . Angalia hii alipost elon musk wiki hii kuikejeli marekani dhidi ya Iran.Kwa nini hao Waarabu wasimchakaze huyo Mmarekani hadi anakuja kupaki mitambo ya kivita puani kwao? Wanashindwa kuungana waarabu wote ili wamchape bsdala yake wanamwachia maji ya bahari hadi pa kupaki mitambo! Au wanapigana kwa kutumia marungu hawa!
We nae hovyo kabisaNdio maana ni vita vya kidini dhidi ya waislam
ni juzi juzi tu waliunda serikali baada ya kumuondoa madarakani rais aliyekuwa anatawala. Na hao hezbollah huko lebanon si kwao, walioingia huko kama wakimbizi wakaanza kushiriki siasa za nchi hiyo dhaifu kisiasa na wakapata nguvu kiasi cha kutawala siasa za lebanon kama ilivyo hamas katika ukanda wa gaza. Sasa lebanon chini ya hezbollah ianzishe hiyo vita na israel ndio itakuwa mwisho wao kutawala siasa za lebanon. Israel haishindwi na haitashindwa kuwanyuka yemen na hezbollah kwa wakati mmoja. Dunia itashuhudia maajabu mengine ya ushindi wa israel katika vita nyingine tenaWewe mpumbavu , kwamba hujui Houthis ndio serikali yenyewe ya Yemen au ?
Hujui baba mwenye nyumba pale Yemen ni Houthis kama Hezbollah alivyo pale Lebanon ?
Axha ujinga wa kulia lia kwenye dini dini yenyewe umeletewa tu halafu unajifanya unaijua sana. Kila siku mnabaguliwa na rangi zenu nyeusi lakini kila kukicha dini diniSema wewe kafiri kwa sababu dhidi ya waislam ndio unasema sio vya kidini
Wapalestina nao wanaipiga telaviv live huko, sasa hivi.Wasije anza kulia pale Israel itakapoanza kusafisha huko Yemen.
Waislamu wameichukulia kama vita ya kidiniTunao fikiri ni vitaa ya kidini ni sisi huku ulimwengu wa 3 lakini kwa akili za ulimwengu wa kwanza hii ni vita ya existence!
Tuliwaambia waondoke, waliobaki wote ni magaidiLimeshushwa misile moja leo limeenda na watu zaidi ya 100...
The world is watching..!? We are watching!??
Why!?[emoji17][emoji17]
Kawasaidie kuwafutaWaarabu walitakiwa waungane ijulikane moja tu israel ifutwe
Wenzao walipigwa asubuhi wakaanza vita siku ifuatayo Wengine vita tayari ni Wiki ya tatu bado mnasema wiki ijayo?Hii vita inaenda kuwa vita ya Ukanda wote
Yemen imetangaza kuanza vita rasmi na Israel na imetangaza kuanza operesheni maalum ya kuichakaza Israel kwa makombora na Drones
‘Vikosi vyetu vilivyojihami vimerusha makombora ya balestiki na ya kusafiri, pamoja na idadi kubwa ya ndege zisizo na rubani, dhidi ya shabaha mbalimbali nchini Israel. Tutaendelea kufanya mashambulizi hadi uvamizi wa Israel ukomeshwe, msemaji wa Jeshi la Yemen Yahya Sarie Anu.
[emoji298]️[emoji329]The full statement of the Yemeni army :
1- #With the help of God Almighty, our armed forces launched a large number of ballistic and winged missiles, as well as drones at various targets of the #Israeli enemy in the occupied territories.
2-The Yemeni Armed Forces confirm that this is the third operation in support of our oppressed brothers in #Palestine, and that the armed Forces will continue to carry out more qualitative missile and drone attacks until #Israel ceases its aggression.
3-The Yemeni Armed Forces confirm that this is the third operation in support of our oppressed brothers in #Palestine, and that the armed Forces will continue to carry out more qualitative missile and drone attacks until #Israel ceases its aggression.
4-We affirm that our Yemeni people's attitude on the Palestinian issue is firm and ethical, and that the #Palestinian people have the full right to self-defense and legitimate rights.
5-The #Zionist enemy entity's ongoing execution of crimes and killings against the people of #Gaza Strip and all of occupied Palestine destabilizes the region and extends the circle of conflict.
The victory comes only from God.
Tukumbuke Yemen wana makombora ya Masafa marefu mazito na ya Ballistic yenye uwezo wa kupiga kilometa hadi 3000
Na wametishia kukichoma kituo cha Nyukilia cha Israel cha Dimona!!
Wakati huo huo Mkuu wa Jeshi la Hezbollah la Lebanon atatoa hotuba siku ya Ijumaa tarehe 3 hotuba inayosubiriwa kwa hamu....Za Chini ya Kapeti zinadai watatangaza vita rasmi na Israel na kukomboa eneo la Mashamba ya Shabbah
View attachment 2799323
Vita ya tatu ya dunia ndiyo imeanza hivyo.VITA HIZI SIJUI ZITAISHA LINI
Israel anaenda jisombea ardhi nyingine baada ya miaka 5 utasikia waislam wanasema israel kapora ardhiWanaukumbi.
BREAKING: YEMEN DECLARED THEY ARE NOW AT WAR WITH ISRAEL
The Republic of Yemen is the first country officially to announce its entry into the “Battle of the Flood” of Al-Aqsa and launches a large number of ballistic and winged missiles and drones at a number of Israeli IOF targets inside occupied Palestine.
Wwaarabu walishaungana na bado kichapo wakapewa tena cha haja mpaka rais wa Misra akafa kwa mshtuko wa moyo.Waarabu walitakiwa waungane ijulikane moja tu israel ifutwe
Hawa jamaa huwa ni wabishi walishapigana na muungano wa nchi zaidi ya 10 za kiarabu zikiongozwa na Saudia kuanzia 2015 hadi 2019 vikawashinda, haya tunaombea amani pale mashariki ya kati maana polepole tunaelekea vita ya 3 ya dunia .[emoji1320][emoji1320]View attachment 2799329
israel inaenda jipatia maeneo zaidHii ni sign mbaya sana. Natamani vojana wangu wa afighanstan waingize timu maana wale ni WAGNER wa kiarabu. WWW3 kama masihala inaanza na kuishuhudia hii vita kwa macho yangu
Hawawezi na haitatokea. Na ikiwa wakiungana hilo litakua tishio kwa EU na NATO nao wataingia mzigoni. Sasa nchi ngapi za uarabuni zina Nukes?. Halafu ujanja wao wote ni kuwawahi makwao unapiga makambi yao yote at per kama Israel ilivofanya zile siku 6. Halafu mfano pale saudia itapigwa visima vya mafuta vyote baada ya hapo wataomba misada maana hajua shughuli mwaeabu anafanya zaidi ya kuchimba mafutaWaarabu walitakiwa waungane ijulikane moja tu israel ifutwe
Naona akili inakataa kukubali hahahahHizi habari za Yemen kutangaza vita zipo tu jamiiforum
Tunachojua ni kwamba Yemen karusha makombora na drones kuelekea islaer..,baas!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app