Ratiba inaendelea: Waraka wa TEC unasomwa leo kwa mara ya tatu

Mbona kinyonge sana!!
 
Leo Majaliwa atasikiliza live waraka wa TEC kwani yumo kanisani muda huu Angalia Tumaini TV wako live. Yuko na RC wa Tanga na Waziri wa Afya.
 
PM na yeye ni mtanganyika mwenye uwezo mkubwa wa kuona iwapo serikali ilikuwa sawa... ama vinginevyo!

Mwache asikilize Waraka unaoliponya Taifa na mali zake!
 
Wiki 6 tu!
Someni huo waraka mpk atakapostaafu Samia, toeni nakala kwa watu wenu wote, bandikeni kwenye kuta za makanisa yenu yote
 
Ratiba na maelekezo ni kusomwa kwa wiki, wasiosoma ni mipangilio yao ya ndani lakini hata hizo zilizokwisha somwa faida imeshaonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…