Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Sijui sisi wa huku SIKONGE tutapona vipi? Nchi imebaki ya WASANII na kiongozi wao.

 
Last edited by a moderator:
Tanzania concept ya fairness haipo, at least kwa rais wetu.

Marekani ukiwa na watoto wako wawili, mmoja ana miaka minne na mwingine sita, ukimfanyia kitu mmoja bila kumfanyia mwingine lazima mmoja atalia "That's not fair".

But I guess Tanzania is Tanzania and the U.S.A is the U.S.A.

The question is, is this ethos of fairness something we should emulate?

Should President Kikwete be concerned about issues of favoritism before parading himself with the Ray Cs of Tanzania (who apparently had other avenues and a whole fan base to garner the requisite funds, as opposed to countless other Tanzanians who shall remain unknown and uncared for).

Why is Ray C so special?

Kuna Watanzania wangapi wanaohitaji msaada kama huu ambao hawana uwezo kabisa? Kigezo gani kimetumika kumchagua Ray C?
Si ameamua tu as a person?
Sioni tatizo la Yesu kumfufua Lazarus wakati kuna watoto wengine siku hiyohiyo walipoteza babva au mama zao.
Sometimes people are just ...... people!!!
 
alikuwa teja bana!
zikatolewa picha humuu kuwa anahotaji msaada nakumbuka shosti yetu mutoto ya fisadi alisema watanzania tumchangi sijui!weell kwake yeye na wengine ilieleweka!
si ndo chighafula hapa(wapi dada mkubwa FP )tunakutana namipicha na taarifa za habari oh rais kamtibu ray c na rayc,mama yale na dada yake wameenda ikulu kumpongeza basi ITV walitoa habari,TBC ,CHANNEL 10 mradi tu mambo mzomzo!

nilijiuliza maswali mengi sana mwenzio!na mpaka sas sijapata jibu ndo mana nakwambia tukajilipue tu!

hahahahha! kweli nadiriki kusema raisi wetu hakujihoji vzr kabla ya kuruhusu hii habari kurushwa, nachelea kusema imempa low marks sana
 
hahahahha! kweli nadiriki kusema raisi wetu hakujihoji vzr kabla ya kuruhusu hii habari kurushwa, nachelea kusema imempa low marks sana

yani ni ile 0 yenye masikio kwa kweli!sijui kama ikulu inalitambua hili
 
Kiranga kabla hatujafikiria concepts of fairness and favoritism hebu kwanza nieleweshe Ray C alikuwa anaumwa nini?? seriously sijui.

Kwa hali ya bongo Ray C hatuwezi kusema aliumwa.

Ni mteja aliyehitaji rehab according to reliable sources.

Labda ndo Prezzo ana roll na kina Lindsay Lohan wa Bongo.

Just imagine Obama paying Lindsay Lohan's rehab bill with taxpayers money.

While countless of Americans have no hope of help for genuine diseases and all kinds of organic diseases!

This is what it's all about.
 
Hatimaye baada ya Ray C kuteseka kwa muda mrefu bila kupata mtu wa kumfadhali hela ya matibabu hatimaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ajitosa kumfadhali. Akiongea katika viwanja vya Ikulu Ray C amemshukuru Rais Kikwete kwa moyo aliouonyesha wa kumsaidia matibabu na sasa hivi anaendelea vizuri.

SWALI:
1.Rais Kikwete ametambua sasa madhara ya madawa ya kulevya, Je, atawachukulia hatua sasa wote wanauzia madawa ya kulevya maana kuna tetesi kuwa anayo majina ya DRUG DEALERS?
2. Je, ni Ray C tu mwenye aliyekumbwa na tatizo la kuwa TEJA? Watanzania wengine tena nguvu kazi kubwa ambayo imeshadhirika na madawa ya kulevya ana mpango upi wa kuwasaidia? Ama wao hawastahili msaada?

AIDHA; Nampongeza Rais Kikwete kwa moyo wake wa kumuokoa Mtanzania huyu " RAY C" maana angepotea na talent yake ya uimbaji.

sio tetes alisema hayo 2006
 
don't tell! Ray c aaalikuwa teja?? so raisi wetu akamsaidia pesa za matibabu sio, ni jambo jema sana tena lapaswa kuigwa. but naomba mnijuze jambo hapa hivi anayejeruhika katikati ya starehe na anayejeruhika katikati ya kazi who needs sympathy??

Jambo jema kwa nini?

Kwa nini Kabhula Masota wa Malampaka anayehitaji kufanyiwa upasuaji wa moyo India hajapatiwa msaada na rais na kapatiwa
Ray C ?

Ray C kafuata mchakato gani mpaka kuweka kupata attention ya rais? Maana na sisi tuna ndugu zetu mamilioni wangependa msaada huu tunataka tujue wasaidiwe.

It's not like rais katumia hela zake binafsi, au za kodi ya familia ya Chalamila (that's what the "C" in Ray "C" stands for y'all)

Kodi ni yetu sote, kwa nini Rehema apate upendeleo? Tena kwa "ugonjwa" wa kujitakia mwenyewe kuvuta mdude?
 
The fact that she is rehabbing, that's a good thing.

But from a PR standpoint it's bad for the president.

He could have just helped her quietly and privately. There was no need for a photo-op.

But the way he went about it makes some people question his motive. Did he do it just to score popularity points or did he do it because he was deeply touched by what the young lady was going through?

If he did it out of the kindness of his heart, then why was the press there?
 
Kwa hali ya bongo Ray C hatuwezi kusema aliumwa.

Ni mteja aliyehitaji rehab according to reliable sources.

Labda ndo Prezzo ana roll na kina Lindsay Lohan wa Bongo.

Just imagine Obama paying Lindsay Lohan's rehab bill with taxpayers money.

While countless of Americans have no hope of help for genuine diseases and all kinds of organic diseases!

This is what it's all about.
i dare to speak out that our president didn't think critically on this otherwise he would have suggest it to be btn them and not to have media coverage.
 
ukishangaa ya laithi utaona lei thii

Hebu nipatie vitheluji mie. I am sure vithelugi haviitaji kuombewa kwa Rais.

Swali la kizushi: Alimsaidia kama Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete au kama Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, or both?
 
Hebu nipatie vitheluji mie. I am sure vithelugi haviitaji kuombewa kwa Rais.

Swali la kizushi: Alimsaidia kama Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete au kama Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, or both?

Kama angemsaidia kama Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete tungeona picha za Ursino Estate, sio Ikulu ya Magogoni.
 
Rais alijuaje kuwa Ray C anaumwa? Na pia, rais alijuaje kuwa Ray C anahitaji msaada given that huyu 'Amy Winehouse' ana base kubwa kama star?

Lakini kubwa, ningetaka kujua ni vigezo gani vilivyotumika kumtibu huyu Ray C? Kuna star mmoja alikuwa anachangiwa ili akapate matitabu India. Na hali yake ilikuwa very critical na baada ya muda hela zilipatikana na akapelekwa India. Sikumbuki kusikia mchango wa rais au misaada ni kwa wala unga peke yake?

Lakini pia ITV kuna watu (masikini wa kutupwa) kila leo wanaomba msaada wa matibabu. Hawa watanzania wanaojitokeza ITV hawana mbele wala nyuma, na hata kufika kwenye studio za ITV ni mtihani.Watu wa aina hii watajisikiaje kuona rais anasaidia 'star - mtu ambaye ana option nyingi za kupata matibabu? Is it really fair?
 
Kikwete is a serial killer! Anajua wauza madawa ya kulevya na hafanyi kitu! Leo anauza nyago na teja Rehema Chalamila
 
kuna mtoto yupo pale Kariakoo mbele ya kituo cha Polisi cha Msimbazi.
Ana tatizo la kuvimba kichwa, yaani ukimuona tu utaingia na roho ya huruma papo hapo, na ni wazi kuwa wazazi wake hawana uwezo wa kumpeleka nje kwenda kufanyiwa uchunguzi na hata kupata matibabu.

Dah leo hii Mkuu unakwenda kulitibia jitu zima na akili zake kwa tatizo la kununua.
Mkuu nakuchukia sana, lakini kwa hili chuki yangu imezidi maradufu.

Wasalaam...
Gang Chomba..,

akili yake ka fuu la nazi.rais hatuna
 
Kama angemsaidia kama Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete tungeona picha za Ursino Estate, sio Ikulu ya Magogoni.

Hata kama tungeona picha za Ursino Estate, si bado angeweza kumfadhili huko kama Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania?

Kwani suala ni sehemu au capacity aliyoitumia kumpa huo msaada?
 
Hebu nipatie vitheluji mie. I am sure vithelugi haviitaji kuombewa kwa Rais.

Swali la kizushi: Alimsaidia kama Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete au kama Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, or both?

Watu wa kwanza kutoa taarifa hii ni Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu. Ilitolewa katika official capacity na sio mtu binafsi. Kuna watu watajisikia wanyonge sana kuona misaada inaenda kwa wale wenye nyenzo nyingi za kujikwamua.
 
Back
Top Bottom