Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Siku zote hukunuona Paula ? Au unaoenda tu lawama ya kukosa vitu vizuri eeh 😀😀😀jamani watu wanakula watoto wazuri sanaaa
sisi wengine tunakula visungura tope tu
Una mtaka ?Mnyamwezi
Oooooh kumbe basi sawaaaah. Acha tuwe watazamaji.Umeisha sema wasanii, wao kila kitu kwao ni sanaa..
Na wewe kwani hutaki date na msaniiOooooh kumbe basi sawaaaah. Acha tuwe watazamaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaaah wallah. Nimeshindwa hata kukujibu hapa.Paula alikuwa haamini kama yeye ndo pekee kaubeba moyo Wa mtu mbaya vanny boy , vanny boy kamwambia asubiri Valentine atamhakikishia , na kweli ikawa hvyo na mwamba katoa na wimbo kabisa akisema mtoto kama mzungu ana asili ya Mwanza na yupo tayar kutoa mahari Kwa Mzee masanja .....
Kimsingi hapo Paula ana furaha isiyo kifani na Kwa vile vannyboy studio yake ndo Kali Tz nzima , [emoji2957][emoji1787][emoji1787] Paula mtamuua Tu kwa Vanboy , naombeni muwe wapole , tuache wivu na tuiombee hii couple ifike mbali
Haya basi sawaaah.Lakini pale hakuna faragha yoyote, si mabusu tu yale.. ambayo ni normal sana kwenye hii dunia ya leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia inataka kusogea zaidi karibu na jua, Saturn itupishe tyuuh. Hakna namna.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mh huku kajala huku Paula
Kupatwa kwa valentine [emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Boda boda
Ndo zao hao kupeleka watoto kwa mabwanaMnyamwezi
Acha hao wasanii, sitaki kudate na mtu yeyote.Na wewe kwani hutaki date na msanii