Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Mods huu uzi uamishiwe kwenye kula tunda kimasihara
 
Paula alikuwa haamini kama yeye ndo pekee kaubeba moyo Wa mtu mbaya vanny boy , vanny boy kamwambia asubiri Valentine atamhakikishia , na kweli ikawa hvyo na mwamba katoa na wimbo kabisa akisema mtoto kama mzungu ana asili ya Mwanza na yupo tayar kutoa mahari Kwa Mzee masanja .....

Kimsingi hapo Paula ana furaha isiyo kifani na Kwa vile vannyboy studio yake ndo Kali Tz nzima , [emoji2957][emoji1787][emoji1787] Paula mtamuua Tu kwa Vanboy , naombeni muwe wapole , tuache wivu na tuiombee hii couple ifike mbali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaaah wallah. Nimeshindwa hata kukujibu hapa.
 
Pole sana ndugu mi binafsi nilioa mwanafunzi sababu kama yako, yule baba wa huyo mke wangu wa sasa alikuwa ni mtata mno na ukizingatia kiuchumi ni kama walituzidi kiasi fulani ila wazazi wangu na wake walikaa wakayamaliza,

Na sio ya kwamba nilikuwa nimempa mimba binti ndio alinogewa na utamu wa pipi akakataa kuendelea na masomo namshukuru Mungu mpaka sasa tunaishi vyema na nina watoto watatu sasa.
 
Back
Top Bottom