Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Kwani yeye P Funk ana tabia zipi nzuri za kufaa kulea mtoto salama
P Funk yuko very strictly na ni mkali haswa yule jamaa.
Unaweza muona kama muhuni hivi lakini ni mtu anayejielewa sana na maisha yake, kifupi narudia tena kosa alilofanya ni kuruhusu mtoto alelewe na mama ambaye tabia zake si nzuri kwa maendeleo bora ya mtoto.
 
Hayo ni madhara ya kutengana , hakuna mwanamke anayekubali mwanawe alelewe na mama wa kambo , yaan hapo utamuua Tu .... Hata kama angeforce still ni ngumu , Kajala kila mda anamuwaza Paula , yaan kila anachofanya Kajala lengo ni kumnufaisha Paula alaf umnyang'anye mtoto akalelewe na mwanamke mwingine never ....
 
Ukinielewa basi niambie ila kwangu case is closed
 
Wa kwako ataliwa akiwa na umri gan we marehemu
Marehemu mwenyewe naona una akili za kitoto kushabikia utoto.

Nyie ndio wabakaji tunaoishi nao huku kitaa

Sasa nenda na wewe nenda kale denti uwekwe ndani mvua 30

Shwain
 
Bongo kuna kila aina ya ujinga hado unajiuliza haya mi malezi gani? Mtoto anafanya mama yake anayofanya.mwanafunzi gani huyu eti?
Misingi ya malezi, ikishakuwa mibaya kuanzia kwa mama, kupata mtoto ambae atakuwa smart ni neema za Mungu. Ni mala chache sana ukute mzazi kapinda alafu mtoto kanyooka ni nadra kuikuta hii, ingawa hutokea. Paula alifeli na kukosa sifa za kuwa Gvt student. Hawaja chelewa sana, katika malezi yake kama wazazi wake wata rudi nyuma , ila kama wanaona kurudi nyuma haiwezekani, basi ndio ntolee huyo binti
 
P Funk angekua strict na mkali bila kuwa mhuni na anayejielewa sana na maisha kama unavyosema angesettle na mwanamke mmoja sahihi zamani sana.
Wala asingezaa watoto bila utaratibu na kuwaachia mama zao jukumu la kuwalea. Kwa kifupi hawezi kujiondoa kwenye hili la watoto wake kuharibikiwa sababu hajaplay role yake kama baba kuwatunza inavyostahili

Yule mwingine alipostiwa na diamond siku chache zilizopita nae mamake kamharibu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni kishumundu wa wapi?
 
Maisha ya msanii yamejawa na sanii, na maisha ya mwana siasa yamejawa na siasa. Vitu viwili tofauti.
Naona unalazimisha awe underage tuseme form 4 kamaliz na hiyo 16 sawa amehitimu mwaka gani ?
Siamini kama harmonize kawa baba mkwe wa rayvanny
Mtoto kashakuwa wacha aliwe , aya yaliyobaki ni maneno tu,

Yeye mbona alimlamba mama Paula na baba kajala hakumind,

Aache shobo aache mabaharia tujilie vyetu
Kwenye ubora wako mzee baba
 
Heeeeh mambo yameanza kuwa magumu eti eeeeh? Poleeeeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nini huyo threesome?
Ulienda wap tena , hujui katibu mkuu kiongozi wa nchi amefariki ndug kikazi , sjui sa hv tukitumbua mtu Nani atatangaza
 
Ulienda wap tena , hujui katibu mkuu kiongozi wa nchi amefariki ndug kikazi , sjui sa hv tukitumbua mtu Nani atatangaza
Tobaaaaaaaaaah katibu mkuu kiongozi yupi tena? [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…