Rayvanny bwana mdogo, Mchumba hasomeshwi, umeshindwaje asome bongo

Sonia si ndo kaukwaa Ukraine au Paula nae
Wamefuatana huko
Wote wapo huko. Sijui kwa nini hawajakwenda United kingdom au United states of America au pale Uholanzi. Naona wameenda vyuo vya kata Ukraine watoto wa mastar.
 

Muache Vanny boy alipe kwani angeshtakiwa kumtumia mtoto chini ya umri si miaka30 ingemhusuπŸ‘‹
Sio ajabu hata wao wenyewe hawana mpango wa kuoana ila ni makubaliano walipeana kumaliza shtakaπŸ‘
 
Hahaha Hii mambo huku itaishia kutishiana vitanda et unasikia yani unaleta mwanaume kwenye kitanda changu
 
Paula pad yake imeshikwa na Kajala mama akiishiwa hela anabonyeza x mmongoli aka mla palachichi anatikiswa hela inatumwa kwa Paula inarudi kupitia western union kwa mmama mtu Yan ni kaumalaya pro max fulan huku mama mtu anakwambia mwanae dogo usiachie bahati ukipata zee la kizungu tulia nalo shonga angu wtf
 
Yaan watu WANYAKYUSA hata awe mjini mda mrefu bado mshamba tu sijui kwann
Ushamba wa asili [emoji1][emoji1].Wamezidiwa mpaka na wakina mwagito apo Kwa mkwawa saizi wanaupiga mwingi
 
Mchumba hasomeshwi, yaani dogo mama yake anauza mbogamboga nzovwe yeye anasomesha demu nje ya nchi, dogo ni fala wa karne acha mama arndelee kukatakata kabichi tutamuungisha
Kuna ndugu yangu alikuwa anamsomesha binti mmoja pale SAUT Mwanza, na ambaye walionana mitaani hapo mjini, binti akiwa mwaka wa kwanza. Wakapendana, wakakubaliana kywa wachumba. Jamaa akaanza kugharamia kila kitu. Tukamtahadharisha, akajua ni wivu tu, kwa yeye kuja kuoa msomi.

Siku ya Graduation hapo chuoni, aliiona picha kamili. Aliambiwa AMKOME! Almanusura ajiue!
 
Hyo russia ulivyoiandika bwashee yaonyesha kabisa umetupiga kambaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na hivi kaenda Ukraine na winter ndo hii inakuja. Huyu binti namuonea huruma. Atasoma kweli ?

Ataishia kwenye mawindo ya 'wapopo', wazee wa kuwachanganya dada zetu wa isti afrika 😁😁
 
Ha ha ha ha ha nimesikia mtoto wa Pfunky Majani na Kajala Masanja, Paula alipata division sufuri katika matokeo yake ya kidato cha nne mwaka 2019.

Sasa huko Marekani anaenda kusomea nini?

Music mzee, na kupiga picha....urembo, fasheni yaani safi kabisa na ulimbwende
 
Watu wa Dar wenyewe mnajuana hapo hata sijaelewa kitu.
 
Hyo russia ulivyoiandika bwashee yaonyesha kabisa umetupiga kambaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwangu unahisi kwenda Russia, au Marekani ni mpaka uwe msomi sanaa [emoji23]?
Connection tu, Mwana kaenda Rashia, sisi tupo huku huku buza na dictionaries zetu
 
That one there was a violation......[emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]
sue me πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Mimi naona ninmisheni ya mama take kummuvushisha Paula ulaya ili yeye aserebuke nabrayvanny, kwani mama nae Bata anapenda anaona wivu kwa mwanaye
[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Duh....................................!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…