Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Duh,Ukraine!????[emoji848]Na hivi kaenda Ukraine na winter ndo hii inakuja. Huyu binti namuonea huruma. Atasoma kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,Ukraine!????[emoji848]Na hivi kaenda Ukraine na winter ndo hii inakuja. Huyu binti namuonea huruma. Atasoma kweli ?
Wote wapo huko. Sijui kwa nini hawajakwenda United kingdom au United states of America au pale Uholanzi. Naona wameenda vyuo vya kata Ukraine watoto wa mastar.Sonia si ndo kaukwaa Ukraine au Paula nae
Wamefuatana huko
Ikute kaenda kusomea uhudumu wa kwenye ndege.Halafu ukraine kuna mijitu mirefu hatari
Mdogo wangu Rayvanny , najua hujawahi kusoma chuo kikuu na huelewi mazingira ya chuo, hata Kama ndo hivyo jua mchumba hasomeshwi, p funk mwenyewe hawezi kumsomesha Paula nje kwasababu amemdharau, hizo pesa utakazokuwa unamtumia watafaidi younger boys than you atawapa yeye.
Kwanini umtolee ada halaf umsomeshe nje, ulitakiwa kumsomesha hapa hapa, ada unalipa na matumizi unampa pia ,anakaa kwako, anatokea kwako unampa Gari, unamcontrol, Sasa wewe mbaya na una sura mbaya Kama Mimi halaf unaenda kumsomesha msichana long distance trade , ataangukia katika mikono ya mahandsome na watatumiaa pesa zako anazokulipa diamond kulipia Bata , utateseka mno.
7
Nafurahi Sasa fahyma ataweza pata amani. Ila kumbuka bongo vyuo vipo vingi, usingeruhusu Paula akasome nje watamtafuna
Hahaha Hii mambo huku itaishia kutishiana vitanda et unasikia yani unaleta mwanaume kwenye kitanda changuYes kwa ulaya iyo 18 aendeshe gari wanakuwaga na hamu Sana Tena Sana. Mana anaendesha kwa kujjiiba,ama kwa roads fulanifulani.
Mahusiano Yao na yanadumu Sana sio sir huku tumelaaniwa kila mtu unataka utoke naye.
Hao kuja kuaachana nao ni kazi Sana.
MTT akipenda mzazi anamsikiliza mwanane anachopenda.
Kuna jamaa yangu tukiwa rashia alikuwa anaenda kwao binti akifika wazazi wanampisha anamkula binti Yao nyumbani.
Wewe😂😂😂😂Halafu ukraine kuna mijitu mirefu hatari
Ushamba wa asili [emoji1][emoji1].Wamezidiwa mpaka na wakina mwagito apo Kwa mkwawa saizi wanaupiga mwingiYaan watu WANYAKYUSA hata awe mjini mda mrefu bado mshamba tu sijui kwann
Hawezi kuwa msomi yule kichwani sifuri.Wataachana tuu..hasa binti akishakuwa msomi
Kuna ndugu yangu alikuwa anamsomesha binti mmoja pale SAUT Mwanza, na ambaye walionana mitaani hapo mjini, binti akiwa mwaka wa kwanza. Wakapendana, wakakubaliana kywa wachumba. Jamaa akaanza kugharamia kila kitu. Tukamtahadharisha, akajua ni wivu tu, kwa yeye kuja kuoa msomi.Mchumba hasomeshwi, yaani dogo mama yake anauza mbogamboga nzovwe yeye anasomesha demu nje ya nchi, dogo ni fala wa karne acha mama arndelee kukatakata kabichi tutamuungisha
Hyo russia ulivyoiandika bwashee yaonyesha kabisa umetupiga kambaa [emoji23][emoji23][emoji23]Yes kwa ulaya iyo 18 aendeshe gari wanakuwaga na hamu Sana Tena Sana. Mana anaendesha kwa kujjiiba,ama kwa roads fulanifulani.
Mahusiano Yao na yanadumu Sana sio sir huku tumelaaniwa kila mtu unataka utoke naye.
Hao kuja kuaachana nao ni kazi Sana.
MTT akipenda mzazi anamsikiliza mwanane anachopenda.
Kuna jamaa yangu tukiwa rashia alikuwa anaenda kwao binti akifika wazazi wanampisha anamkula binti Yao nyumbani.
Na hivi kaenda Ukraine na winter ndo hii inakuja. Huyu binti namuonea huruma. Atasoma kweli ?
Ha ha ha ha ha nimesikia mtoto wa Pfunky Majani na Kajala Masanja, Paula alipata division sufuri katika matokeo yake ya kidato cha nne mwaka 2019.
Sasa huko Marekani anaenda kusomea nini?
Watu wa Dar wenyewe mnajuana hapo hata sijaelewa kitu.Mdogo wangu Rayvanny , najua hujawahi kusoma chuo kikuu na huelewi mazingira ya chuo, hata Kama ndo hivyo jua mchumba hasomeshwi, p funk mwenyewe hawezi kumsomesha Paula nje kwasababu amemdharau, hizo pesa utakazokuwa unamtumia watafaidi younger boys than you atawapa yeye.
Kwanini umtolee ada halaf umsomeshe nje, ulitakiwa kumsomesha hapa hapa, ada unalipa na matumizi unampa pia ,anakaa kwako, anatokea kwako unampa Gari, unamcontrol, Sasa wewe mbaya na una sura mbaya Kama Mimi halaf unaenda kumsomesha msichana long distance trade , ataangukia katika mikono ya mahandsome na watatumiaa pesa zako anazokulipa diamond kulipia Bata , utateseka mno.
7
Nafurahi Sasa fahyma ataweza pata amani. Ila kumbuka bongo vyuo vipo vingi, usingeruhusu Paula akasome nje watamtafuna
Mwangu unahisi kwenda Russia, au Marekani ni mpaka uwe msomi sanaa [emoji23]?Hyo russia ulivyoiandika bwashee yaonyesha kabisa umetupiga kambaa [emoji23][emoji23][emoji23]
That one there was a violation......[emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]haka kamwandiko kako labda ukashangae Ziwa Victoria.
Kenge we.
sue me 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️That one there was a violation......[emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]
[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]Mimi naona ninmisheni ya mama take kummuvushisha Paula ulaya ili yeye aserebuke nabrayvanny, kwani mama nae Bata anapenda anaona wivu kwa mwanaye