RC Amos Makalla amaliza mgogoro wa Meya na Mkurugenzi Kinondoni

Haka ka maza na kenyewe ni katata sana. Si ndio huyu alikuwaa hapatani na Meya Boniphace yule wa Chadema?
 
Huyu Meya ni mjanja. Yeye na madiwani wake wameiba hela za uzoaji takataka, na Mkurugenzi aliliweka wazi na hawajibu hiyo hoja zaidi ya kumshambulia kibinafsi. Hapa amepiga picha kwa pozi hilo, hakufanya hivyo kwa bahati mbaya. Alijua udhaifu wa watanzania wengi. Alijua kukitokea hoja na mapenzi kwa pamoja, Watanzania watajadili mapenzi waiache hoja. Hapa amefaulu. Watanzania waliomo humu (wanaojiita Great Thinkers) wanajadili pozi la kukumbatia. Hawajadili tena tofauti iliyopo kati ya fedha zilizokusanywa kwa wananchi na kilichoandikwa katika risiti walizopewa. Hawa ni GT wa JF, sasa je waswahili wenzangu huko mtaani, nani atahoji tena? Meya mjanja mjanja hivi, wananchi wajinga wajinga hivi
 
Meya mpaka amesinzia ha ha haaa
bi spora naona kumbe Neema za Allah zilimtembelea sio haba.
 
Tutafsirie tu hata kwa hilo kumbato, naona mmoja kakumbatia kwa mikono yote mwingine kakumbatiakwa mmoja, au labda aliogopa kushika kiuno cha wenyewe tumuache tu.
[emoji3][emoji3][emoji3]ugomvi wa mahaba
 
Hapo ni njaa zao wote wanaogopa kutumbuliwa hivyo wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite lakini ndani ya mioyo yao ngoma bado mbichi wataishi kwa kuviziana tu.
 
Waliandaa na wapiga picha kabisa hii bongo movie baso inaendelea.
Halafu takataka jana walikutana.na katibu mkuu wa ccm wakashindwa kumwuliza hata swali
 
Si unakumbuka kwenye ule ugomvi alimuuliza 'au una sababu nyingine'?
 
nje ya mada tena, nani kaona furniture na deco alizonakshia ofisi bashite wakati anadumu kwenye nafasi. haha full gsm humo ndani.. af leo mtu yupo benchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…