Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Meya aache ukanjanja...
Kwahiyo baada ya kumaliza tofauti zao watuambie ukweli sasa... nani alikuwa sahihi kati ya Meya na Mkurugenzi.... afu hela zetu zirudishwe...
Afu naona Meya kambamba mke wa watu kwa mahaba yote...
[emoji2960][emoji134][emoji134][emoji134]Kazi nzuri na Mwanzo mwema kwa Mkuu wa Mkoa mwana Simba SC ' Kindakindaki ' Mwenzangu na Mdau Mwenzangu wa Miziki ya Congo ( Misebene ) hasa Bendi yetu pendwa ya Wenge Musica BCBG Ndugu Amos Makalla.
Sina wasiwasi nae Kiuongozi kutokana na Historia yake na najua huu Mkoa atauweza na atapata Ushirikiano wetu wote wana Dar es Salaam tofauti na ilivyokuwa kwa Mpuuzi Mmoja aliyekosa Kura za Maoni za kutosha ndani ya CCM ili agombee Ubunge Jimbo la Kigamboni.
Ila nimeshtushwa kidogo katika hizi Picha namuona Bwana Songoro ' amemuhagi ' Bi. Spora katika hali ya ' Kimahaba ' kabisa tena huku kama vile ' akijibebisha ' Mabegani Kwake na akiwa na Furaha ya 100% na ya Mwenzake Kisaikolojia ikionekana ni ya 50% tu.
Huenda 'Ugomvi' wao ni wa Kibaiolojia.
Kha!kha!kha!, Kumbe??.Hivi huyu Spora si ndio kipindi kile aliwachoma akina Kangi Lugola et al walivyomuomba rushwa...
Pigo kubwa kwa CHADEMA.......Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amemaliza sintofahamu ya uongozi wa manispaa ilijitokeza Kati ya meya manispaa ya kinondoni Ndg Songoro Mnyonge na mkurugenzi wa manispaa Spora Liana.
Utatuzi wa mgogoro huo umefanyika leo katika kikao Cha pamoja kilichoitishwa leo na mkuu wa mkoa na kuwakutanisha meya na mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni.
Mkuu wa mkoa amewataka viongozi hao kurejea ofisini na kufanya kazi kwa pamoja, kutekeleza miradi ya maendeleo na kutatua kero za wananchi.
Kwa upande wa Meya na mkurugenzi wamemaliza tofauti zao na wamehaidi kufanya kazi kwa pamoja kwa maslahi mapana ya wananchi.
View attachment 1792517View attachment 1792518View attachment 1792519
View attachment 1792521
Zaidi tazama: Video: Malumbano kati ya Meya Isaya Mwita na Mkurugenzi wa Kinondoni Sipora Liana
Hawa walinyimana mwisho wakaminyanaView attachment 1792593
Tazama vizuri macho ya mstahiki yanasimulia kila kitu
View attachment 1792594
Hiyo mimba yako uliyoipata kwenye kigodoro ukizaa mtoto muite Chadema.Pigo kubwa kwa CHADEMA.......
Mahaba kazini ,mgogoro imeisha mahaba kikazi yaendeleeeeMeya aache ukanjanja.
Kwahiyo baada ya kumaliza tofauti zao watuambie ukweli sasa, nani alikuwa sahihi kati ya Meya na Mkurugenzi, afu hela zetu zirudishwe.
Afu naona Meya kambamba mke wa watu kwa mahaba yote.
Sio Sabaya tena!!!?? Wala Makonda?Makalla for presidency 2030!
wenzio waliweka na picha wewe hujaipata?Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla ameanza kazi kwa kishindo
Mheshimiwa Makalla mapema leo amemaliza ugomvi uliodumu kwa muda mrefu kati ya Mstahiki Meya wa Manispaa Kinondoni Mheshimiwa Songoro Mnyonge na Mkurugenzi Bi Spora Liana
Viongozi hao wawili baada ya usuluhishi huo walishikana mkono na kuahidi kuchapa kazi kwa bidii na ushirikiano mkubwa ili kufanikisha utekelezaji wa Ilani ya CCM
Hongera sana RC Makalla
Kazi iendelee
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla ameanza kazi kwa kishindo
Mheshimiwa Makalla mapema leo amemaliza ugomvi uliodumu kwa muda mrefu kati ya Mstahiki Meya wa Manispaa Kinondoni Mheshimiwa Songoro Mnyonge na Mkurugenzi Bi Spora Liana
Viongozi hao wawili baada ya usuluhishi huo walishikana mkono na kuahidi kuchapa kazi kwa bidii na ushirikiano mkubwa ili kufanikisha utekelezaji wa Ilani ya CCM
Hongera sana RC Makalla
Kazi iendelee
Hawafai kabisa kuwa Viongozi! Magufuli angewafukuza wote!!Hivi hawa viongozi hawaoni aibu, wanaweka sintofahamu zao mbele na kuacha kututumikia wananchi, walitakiwa wale viboko
Wanatuonesha ni jinsi gani Ngono ilivyopamba Moto huko ma officini!!Haya mahaba wanatakiwa kushitakiwa na mke wa mstahiki,pia Mme was Spora.
HAIWEZEKANI
Corona ipo Ikulu tu,huko kwingine ni full kujiachia!!Wanakumbatiana,
Corona vipi?
Hapa si sawa.