Wanabongo km mleta mada akili zenu ni mana! niiii,, haya kma...vima............akija mchapakazi km Bashite,sokoine basi mtalia weeeee!! km mitoto yatima isiyo na Meno!! sijui nini??
akija Mpoleee mnamuona Mburulaaa!! jinga, halijui kuongea, km huyu wa sasa!! sasa hata sijui mnataka nini nyie nyau!!...mnafaa kubaguliwa kwa sana tu! ndo stahili yenu!
Mkoloni arudi tu!! ndo nawashauri msikie!! akija yule mkoloni hataki ujinga km huu!! wooote wapiga soga km mleta Mada mnarudi kwenu kijijini tena siyo centre ya kijiji,,,hukooo mpakani mwa kijiji, ili ukacheke na nyani vizuri!
Ukija mjini/jijini unabeba Pass port yako ya kuingia jijini! maarufu km (DOMPASS), na useme sehemu utakazo tembelea muda na saa! kujifunza au Biashara! ya mtajigani mkubwa!
Mzigo wa ujinga km huu wa mleta mada, utapungua sana kwa sisi wana jiji!! lkn hivi tutasumbuana sana, Halafu Moderator Mshauri Mkurugenzi, wana DSM na Diaspora tu tuwe na jukwaa letu tu Maalumu!!!!
Ubaguzi wa hali za uchumi/Elimu/uelewa/usmartni/urembo/utanashati nk! suala La lazima haliepukiki!! ndo ivo hata Mbinguni Malaika wanaishi na kupeta kwa viwango!!
Km hujui Maserafi na Makerubi(cherubians) na wale Wazee 24, hawa wako karibu saaana na utukufu wa Kiti cha Enzi! daima dumu!! ni tofauti sana na hawa Malaika walinzi wetu wanaotumwa tumwa huku Duniani!
Naomba na nina wataka Malaika walinzi wetu Msihasi wala kukufuru!! make mnanisikia huko mliko!....ewe Malaikas chekeni tu muwezavyo lkn ukweli ndo huo!