Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni CPA t holder Tena ile yenywe ile ya kiuhasibu usimbeze rc wanguHivi ana elimu gani huyo Amos
Kheeee 😂😂Huyu kweli mhhh ngoja niishie hapo.Ni CPA t holder Tena ile yenywe ile ya kiuhasibu usimbeze rc wangu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unae weza kutoa katoe hata msibani.
Tunachokijua:
Elimu mbovu sawa, lkn ikikutana na kichwa kibovu Kama cha Makalla inakuwa mbovu zaidiWala usiiidharau elimu ya kwetu mnk hata ya Uganda Ni mbovu kuliko yetu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Siyo kwa Makalla kichwa maji huyuWe si unasifia kila wanachokifanya wateule na marafiki wa mama, leo imekuwaje tena
Masters tena kote kapiga First ClassHivi ana elimu gani huyo Amos
Hyo ni Masters uchuroMasters tena kote kapiga First
We yako iko wapi,? Mwenzio ni RC sasa.Hyo ni Masters uchuro
Wivu kwa mwanaume mwenzio haufai......aliepata kapata kama unajua ofisi zie si uende ukatoe ushauri.......watanzania mnafeli wapi???Tangu ateuliwe kuwa RC wa mkoa wa DSM hajawahi kufanikiwa ktk jambo lolote lile
Mtangulizi wake alianzisha kampeni ya kupanda miti ya mapambo kwenye barabara zote na sehemu za njia panda (roundabouts) zilipambika kweli kweli. Lkn Amos Makalla amefika miti yote imekauka.
Amos Makalla aliazisha kampeni ya usafi wa jijini akaipa jina kabisa. Akateua mpk mabalozi wa usafi .Kampeni hii imekufa kifo cha mende.
Kichekesho kikubwa ni pale alipofanya maamuzi ya kukurupuka ya kukataza mabasi ya mikoani kushusha abiria kwenye stendi binafsi. Wenye mabasi wakamgomea.
Hebu sasa soma sehemu ya hotuba yake ya leo wakati akitoa salaam kama mkuu wa mkoa mwenyeji wa shughuli ya utiaji saini mradi wa SGR (Tabora -Kigoma) leo 20 December, 2022.
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla anazungumza:
Hali ya usalama ni shwari, nashukuru kwa Shilingi Bilioni 12.3 ulizotupa za kujenga madarasa 618, nikuhakikishe hakuna mtoto ambaye hatakwenda shule
Dar ndio Jiji la kibiashara, sisi ni wanufaika wa kwanza wa mradi wa SGR, hivi karibuni ulinipa fursa ya Kwenda kuifunza mambo ya usafi Rwanda, wanakushukuru kwa kufungua biashara.
Unayoyafanya yameandikwa kwenye ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi, chama cha siasa kazi yake ni kushika dola, unayoyafanya unatekeleza kile kilichopo kwenye ilani.
Ukishaona mtu mzima anacheza michezo ya kitoto kwa mfano ‘hide and see’ au kujipikilisha ujue mambo sio mazuri, juzi tumesikia wenzetu wanachagua Bunge la Mtandao, linaitwa Bunge na lina Spika, sasa hapo tunaona kabisa wanacheza mchezo wa hide and see, wamechanganyikiwa, hii ni kutokana na kazi nzuri unayofanya".
Hotuba hii imekaa kitoto Sana. Haina focus, anapuyanga huku kisha anahamie kule.
Hivi huyu RC wa hovyo kiasi hiki anabebwa na nani hadi kuwekwa kwenye huu mkoa ambao ndiyo uso wa nchi??
Unataka nkuuzie.We yako iko wapi,? Mwenzio ni RC sasa.
WANA MASTERS ZA UMBEYAWe yako iko wapi,? Mwenzio ni RC sasa.
Ndio ashatoka kimaisha na baraka za allah kazi kwenuHio ni Masters uchuro
Maisha yake umeona mim nahangaika nayoNdio
Ndio ashatoka kimaisha na baraka za allah kazi kwenu
Amos makala ni mmoja wa wakuu wa mikoa safi sana
Roho imekuuma? Unajuaje nimetoboa au la? Fahamu kuzaliwa tu mjini tayari una digrii...
Makalla kaingia CCM na kuanza harakati za kusaka ikulu chini ya wanamtandao hado kuwa mwekahazina wa CCM kipindi ambacho wewe ulikua bado unachambia vikopo vya kutu huko Chato.
Uitoe wapi mdangaji weweUnataka nkuuzie.
Huenda nikawa na Masters ya udangaji.Uitoe wapi mdangaji wewe