Black Label
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 432
- 553
Mtoto wa mjini maana yake ni nini? Mtoto wa mjini nani?Amos Makalla ni mtoto wa mjini. Kaingia mjini kipindi Magufuli anaingia chooni peku huko Chato. Narudia Papaa Amos Makalla ni mtoto wa mjini na ameingia kwenye highest Echelons za CCM kipindi ambacho hujaanza hata kutembea mwenyewe.
Kifo hakina mjini wala kijijini. Kinagonga hodi muda woteWatoto wa Shamba mngekua na akili JIWE asingekufa kizembe vile.
Anajua watoto wa mjini hawafi!Kifo hakina mjini wala kijijini. Kinagonga hodi muda wote
Tuogope kifo[emoji24]
Kifo wala sio cha kuleta mzaha maana wote humu tumefiwa iwe na ndugu, wazazi au marafiki wa karibuAnajua watoto wa mjini hawafi!
Huyo kichwa maji msamehe bure!
Muhimbili wakufa watoto wa shamba tu![emoji23][emoji23]
Akili sio kuwa na kichwa tu!
Kama wewe ni mtu mzima na umeandika haya ni aibu sanaAmos Makalla ni mtoto wa mjini. Kaingia mjini kipindi Magufuli anaingia chooni peku huko Chato. Narudia Papaa Amos Makalla ni mtoto wa mjini na ameingia kwenye highest Echelons za CCM kipindi ambacho hujaanza hata kutembea mwenyewe.
Kufa kupo ila kufa kizembe ni ujinga hasa kwa mtu kaliba ya jiwe.Kifo hakina mjini wala kijijini. Kinagonga hodi muda wote
Tuogope kifo[emoji24]
Wewe utakua umezaliwa na unaishi ikulyamabambashi ndo maana huna akili ya kufungua codes shwaini.Anajua watoto wa mjini hawafi!
Huyo kichwa maji msamehe bure!
Muhimbili wakufa watoto wa shamba tu!😂😂
Akili sio kuwa na kichwa tu!
Kufa kijanja kufaje? Kwa hiyo tukutegemee utakufa kijanja sio mtoto wa mjini?Kufa kupo ila kufa kizembe ni ujinga hasa kwa mtu kaliba ya jiwe.
Tujivunie nini nyinyi watu wa Kwa mtogole.?Watoto wavijijini na washamba hawawezi kuelewa... ndo maana wamekuja na mapovu na ndo maana wanalizwa mjini kizembe akiwemo mjomba wao wa chato.
Hakuna kifo cha kizembe, ohooo. kila anayekufa ukipata story yake utaona uzembe,maana anayekufa na malaria utasema mzembe kwa nn hakutumia chandarua.Kufa kupo ila kufa kizembe ni ujinga hasa kwa mtu kaliba ya jiwe.
Sijaelewa kabisa kuwa kuna kufa kijanja na kizembe. Hawa wenzetu pengine hawaamini Kuna kifoKufa kijanja kufaje? Kwa hiyo tukutegemee utakufa kijanja sio mtoto wa mjini?
Mwenzio anaongelea habari za utendaji siyo huo uharo mwingineAmos Makalla ni mtoto wa mjini. Kaingia mjini kipindi Magufuli anaingia chooni peku huko Chato. Narudia Papaa Amos Makalla ni mtoto wa mjini na ameingia kwenye highest Echelons za CCM kipindi ambacho hujaanza hata kutembea mwenyewe.
Hawa ndio wanategemewa kuifanya Tanzania iwe kama SingapoleTangu ateuliwe kuwa RC wa mkoa wa DSM hajawahi kufanikiwa ktk jambo lolote lile
Wahuni wa tu hawa. Mtu anabwabwaja tangu mwanzo wa hotuba mpk mwisho lkn haeleweki anasema nn!!!!Hawa ndio wanategemewa kuifanya Tanzania iwe kama Singapole
Kabisa mkuu, maana huyu RC anatia kinyaaHizi nafasi hazihitaji watu kuteuana tu, inatakiwa ziwe zinaangalia taaluma pia
Umeharibu Kila kitu hapa!Wanabongo km mleta mada akili zenu ni mana! niiii,, haya kma...vima............akija mchapakazi km Bashite,sokoine basi mtalia weeeee!! km mitoto yatima isiyo na Meno!! sijui nini??
akija Mpoleee mnamuona Mburulaaa!! jinga, halijui kuongea, km huyu wa sasa!! sasa hata sijui mnataka nini nyie nyau!!...mnafaa kubaguliwa kwa sana tu! ndo stahili yenu!
Mkoloni arudi tu!! ndo nawashauri msikie!! akija yule mkoloni hataki ujinga km huu!! wooote wapiga soga km mleta Mada mnarudi kwenu kijijini tena siyo centre ya kijiji,,,hukooo mpakani mwa kijiji, ili ukacheke na nyani vizuri!
Ukija mjini/jijini unabeba Pass port yako ya kuingia jijini! maarufu km (DOMPASS), na useme sehemu utakazo tembelea muda na saa! kujifunza au Biashara! ya mtajigani mkubwa!
Mzigo wa ujinga km huu wa mleta mada, utapungua sana kwa sisi wana jiji!! lkn hivi tutasumbuana sana, Halafu Moderator Mshauri Mkurugenzi, wana DSM na Diaspora tu tuwe na jukwaa letu tu Maalumu!!!!
Ubaguzi wa hali za uchumi/Elimu/uelewa/usmartni/urembo/utanashati nk! suala La lazima haliepukiki!! ndo ivo hata Mbinguni Malaika wanaishi na kupeta kwa viwango!!
Km hujui Maserafi na Makerubi(cherubians) na wale Wazee 24, hawa wako karibu saaana na utukufu wa Kiti cha Enzi! daima dumu!! ni tofauti sana na hawa Malaika walinzi wetu wanaotumwa tumwa huku Duniani!
Naomba na nina wataka Malaika walinzi wetu Msihasi wala kukufuru!! make mnanisikia huko mliko!....ewe Malaikas chekeni tu muwezavyo lkn ukweli ndo huo!