RC Amos Makalla hawezi hata kutoa hotuba!

Wewe ndo mtoto wa mjini? Kwanza maisha ya JPM na familia yake wewe hata robo na uko wako huna!
Familia yake tu inavyoishi wewe zitabakia ndogo mpaka unaenda futi 6 chini ya udongo!
ume PANIC
 
CCM mtauana na hivi vyeo...as long as aliyemteua anamkubali wewe ni nani?
 
Utoto wake wa mjini unawasaidaje wakazi wa Dar es Salaam??
Amos Makalla ni mtoto wa mjini. Kaingia mjini kipindi Magufuli anaingia chooni peku huko Chato. Narudia Papaa Amos Makalla ni mtoto wa mjini na ameingia kwenye highest Echelons za CCM kipindi ambacho hujaanza hata kutembea mwenyewe.
 
Hapo mjini unapopasema ni sehemu gani? Posta? Manzese? Au kigamboni? Nchi hii ina watu wapumbavu sana.. anyway aliki ni nywele na kila mtu ana zake.
 
Hide and see? or hide and seek?
 
Yaan hawa wakina Makala ndio huwa ,wanaibia mitihani ,wanapata kaz za ukuu wa mkoa au uwazir kwa connection tu.Hawawez interview hata siku moja.Aibu anayopata ni matunda ya kufoji foji vitu.
 
Akianzaga kuongea huwa nazima TV
 
Yaan hawa wakina Makala ndio huwa ,wanaibia mitihani ,wanapata kaz za ukuu wa mkoa au uwazir kwa connection tu.Hawawez interview hata siku moja.Aibu anayopata ni matunda ya kufoji foji vitu.
Huwa anapohutubia aibu naona mimi.
 

Mbona unaandika ukiwa ume panic!!
 
Downtown kitambo huku kaokotwa tu si alifulia hadi akawa kopo kbsa kaokotwa huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…