RC Amos Makalla hawezi hata kutoa hotuba!

We si unasifia kila wanachokifanya wateule na marafiki wa mama, leo imekuwaje tena
 
Wivu kwa mwanaume mwenzio haufai......aliepata kapata kama unajua ofisi zie si uende ukatoe ushauri.......watanzania mnafeli wapi???

Unajua kuna ma engn wazuri sana ma di ukiweka lugha yetu awapandishi sasa kama anafanya kazi we huioni nenda ofisini ukatoe ushauri na wala hana shda kumwona mkuu.........
 
D Best
Na KIKUBWA HAENDEKEZI MACHAWA KABISAAA YAANI HTA WANAOMPINGA UTAKUTA NI CHAWA WALIOCHOMOLEWA........
Amos makala ni mmoja wa wakuu wa mikoa safi sana
 
Hahahaaaaaaa samehe mkuu
Chawa wana kazi na awamu hii hawataki kabisa chawa kwenye siasa wamehamia humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…