Naunga mkono hojaLeo RC Makalla amekaa na madiwani kuwaelezea nia yake ya kuwapanga upya wamachinga ktk jiji hili la kibiashara
Chanzo: ITV habari
Wamachinga walipewa Uhuru usiyokuwa na mipanga kiasi kwamba waligeuka kuwa kero kwa kila mtu.
Uamuzi wa RC Makalla uungwe mkono ili hawa wanyonge wafuate utaratibu. Na wawe na maeneo maalumu ya kufanyia kazi zao. Wasizagae hovyo.
Dar ingekuwa jiji la mfano hata sisi tukiingia tujisikie kuwa Tanzania kuna mji mzuri. Sasa hivi huko Buguruni, Ubungo, Karume, Tegeta hapana tofauti na LindiHayati alikosa exposure hakuna mji duniani uko ovyo kama dar,mamalishe anapikia kuni chini ya transfoma pembeni kuna bank mbele kuna jengo la ubalozi.Mungu fundi
Bara bara ya Sam Nujoma ni uchafu mtupu. Kweli watu wanatafuta Liziki lakini si kwa mrundikano uleKuna machinga wamejenga mabanda yaani utadhani maduka ya nguo baadhi ya maeneo, leo hapo ubungo darajani upande wa msikiti nimekuta ugomvi jioni hii mtembea kwa miguu amekanyaga Nyanya daah nimeacha timbwili hapo.....wamepanga service road yote.
Mwongo alijifanya anawapenda kumbe mnafiki tu.Yule raisi wa wamachinga huko aliko atakuwa amenuna
[emoji23] [emoji23] ww sio binadamu wa kawaida aiseeHawa sio wa kuhangaika kuwatafutia mahali pa kwenda,waking'ang'ania kujibana pembeni ya maduka ya binadamu watwangwe risasi za moto
Mungu aSiyo hivyo tuuu yaani imefika mahali Mamalishe wanapikia kuni karibu na sheli...
Mwendazake aliwalemaza sana hawa watu et nao wanakubali kujiita wanyonge. Leo hii kuna wapumbavu hawa wajasiliamali wamejazana sana pale kona ya gerezani wanauza maji ya kunywa wanaokota makopo wanajaza mpaka juu chupa ya jambo ina kizibo cha mirinda, hayo maji waliko chota wanajua wenyewe yana usalama gani.. basi tu ilimradi nao ni machinga na wanaambiwa wasibugudhiwe, ndo watunyweshe maji machafu ???
Hii nchi mi na mlaumu sana Nyerere aliwafukuza wazungu mapema sana, ilitakiwa tuendelee kutandikwa viboko mpaka miaka ya 2005 tupewe uhuru tungestaarabika sana ona nchi kama South Africa wamepata uhuru 93 kwa viboko na wamenyooka hata kama baadh yao ni maskin ila maskini walio staarabika.
Yule mzee alikuwa ovyo kabisaDar ingekuwa jiji la mfano hata sisi tukiingia tujisikie kuwa Tanzania kuna mji mzuri. Sasa hivi huko Buguruni, Ubungo, Karume, Tegeta hapana tofauti na Lindi
Kweli mkuu mimi ndio yule malaika aliyehamia Duniani juzi[emoji23] [emoji23] ww sio binadamu wa kawaida aisee
Machinga watapiga mtu hili suala la kuwaondoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we cheka tyuuh hakna namna.
Mkuu ni kweli frame ziko nyingi na hazina wapangaji hivyo jiji liwatake wamachinga wakapange. Tatizo la wamac hinga wengi hawataki kulipa kodi za frame na kodi ya Serikali wao ni faida tu.Hii ingefanyika Tanzania nzima.Hawa wapangishe frame ya duka,ili kuingiza mapato ya serekali kwenye kodi ya zuio(with holding Tax)Frem nyingi kwenye miji,zimejengwa,hazina wapangaji,wakipatikana wapangaji na kodi ya zuio,imepatikana.Wengi wanaingiza faida kubwa,lakini hawalipi kodi.
Acha propaganda mkuu, hakuna nchi isiyokuwa na utaratibu.Hahahaaaa........machinga ni jeshi kubwa bwashee!
Ccm wanasemaje??
Tusiwalaumu tu wamachinga, mpaka mmachinga anafinya barabara kwa ajili ya biashara zake mamlaka husika ipo wapi?Huo ujinga upo had mikoani..barabara mbili moja inafinywa watu wanapanga meza
Tusiwalaumu tu wamachinga, mpaka mmachinga anafinya barabara kwa ajili ya biashara zake mamlaka husika ipo wapi?Huo ujinga upo had mikoani..barabara mbili moja inafinywa watu wanapanga meza
Naona hata wale ndege wa nyumba nyeupe TAUSI hawana sehemu ya kuvijari kama zamani.Ukipita kwenye lango la chuo cha IFM na Wizara ya Afya ni aibu
Tusiwalaumu tu wamachinga, mpaka mmachinga anafinya barabara kwa ajili ya biashara zake mamlaka husika ipo wapi?Huo ujinga upo had mikoani..barabara mbili moja inafinywa watu wanapanga meza
Siasa ndiyo imechangia kuliharibu jiji..wanasiasa wenye mawazo muflisi kama haya ndio wamesababisha jiji limekuwa la vibanda kile sehemu. Huwezi kutofautisha manzese na posta. Na hii imezagaa maeneo yote,...Mwanza kule ndio kabisa hata gari haliwezi kupita.