RC Makonda yupo na ataendelea kuwepo sana maana hakuna wa kumtumbua na baada ya uchaguzi mkuu atakuwa Waziri Mkuu au Waziri wa Ulinzi

hakuna wa kumtumbua rc paul makonda and he is there to stay
Kuhusu hilo sina shaka kabisa, mimi poa natamani aendelee kuwepo hadi awamalize hawa watendaji vichomi wanaotutesa sana sisi wananchi, maana akishawamaliza naye anaondoka for good or for worse, until now nasimama na Mh Paul Makonda
 
Naomba nishauri tu, tutofautishe Uwaziri Mkuu na Ukondakta wa mabasi.
 
Makonda ni kiazi mbatata, hakuna akili kichwani. Huwa anatumika na wana siasa kufanya vurugu tu kwa vile kichwa chake hakina ubongo. Zaidi ya matako makubwa hana kingine cha kuringia.

Kama ni Uwaziri Mkuu labda wa nyumbani kwako. Huyo pimbi hapo ndiyo mwisho wake. Asubiri tu kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za mauaji, utekaji na kujipatia mali isivyo halali
 
Si mpaka awe hai wakati huo.
 
Makonda ni mifumo tu itamana ila ndio aina ya rais tanzania inataka... mbishi, anayejua katiba imempa nguvu gani, jasiri na asiyeogopa..
 
Waziri bila jimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…