luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Tunazungumzia wazawa ktk economy yetu wewe unaleta HBR za wageniVitu vingine ni bora ukae kimya km hujui ukweli wake uchumi wa nchi nyingi za kiafrica upo mikonono mwa mweupe nyie weusi bakini kushabikia ukabila tu na baada ya miaka 20 mbele tutaanza kuwakamata na kuwauza kwenye mashamba ya mamba km chakula
Hamna ukabila hapo,hyo ni acknowledgementUkabila ni sumu kwa taifaa, tupinge kiongozi anayeongelea mambo ya makabila na ukabila
kila mtu ni tajiri hapa dunianii hahaaa
Sasa mada inajadili wazawa karibuHuu uchumi wetu unamilikiwa na hao unaowaita wewe wagen kwa asilimia 60.
Kwani wahindi na waarabu sio wazawa?Tunazungumzia wazawa ktk economy yetu wewe unaleta HBR za wageni
Nyie ndio maana mitihani mlikuwa mnafeli[emoji3][emoji3]
Hujui kituKwa sasa wanaongoza WAKINGA kwa kuwa na pesa ndefu na biashara kubwa. Siyo wachaga. Wakinga wana nidhamu kubwa sana ya kutunza pesa. Kariakoo wanaitawala. Sasa wameanza kuwekeza kwa kasi kubwa sana DODOMA.
Akijibu ni tagWewe huna kabila? Mbona mapovu sana? Tofautisha kuzungumzia makabila na kuzungumzia ukabila.
Kwa hiyo nyie makabila mengine mnalishwa na wachagga au mnajitegemea?Hujui kitu
Mkinga kakaribishwa na mchaga juzi kariakoo
Wachaga wapo level zote
Mfano mmiliki WA précision Hizo Hela zote si anakusanya wakinga "wenye Hela" kama 1000?
Wachaga biashara ndio wameishika neno kwa mangi ni ushahidi
Mkinga kwa mchaga bdo
MBONA makasiriko msigazi?wahaya watoe hapo kwenye mijadala yenu ya kijinga...hawajawahi kukuomba msaada mahali popote...
Pambana na Hali yako
Wahindi ni Kabila gan?Kwani wahindi na waarabu sio wazawa?
Nione wivu wa kabila?? Dini tu sina sembuse kabila ambalo sijui hata nitalitumia wapi?? Umasikini wangu umeupimaje?? BTW tabia yako ya kukata mauno usidhani ipo kwa kila mtu mkuu, ishu za upinde sizifagilii.Kwa kuwa kabila lako halipo nyie ni wakata viuno na maskini Maarufu 😁😁
Angekua mkabila angaliweka na kabila lake.Inamaana ameanza ukabila huyu. Basi kama kweli yeye kasema Hilo basi hafai kwenye nafasi aliyonayo.
Nenda kariakooKwanza Wapemba si kabila.
Pia sioni mchango wao kiasi cha kusemwa wana mchango mkubwa kuinua uchumi. Sijasikia Mpemba mwenye kiwanda kikubwa hata mmoja. Au kampuni gani kubwa kitaifa ni ya Mpemba?
Taja kabila lako kwanzaNione wivu wa kabila?? Dini tu sina sembuse kabila ambalo sijui hata nitalitumia wapi?? Umasikini wangu umeupimaje?? BTW tabia yako ya kukata mauno usidhani ipo kwa kila mtu mkuu, ishu za upinde sizifagilii.
Inabidi mkae kwa kutulia tuHaya mambo ya kutajana makabila yameanza lin?
Na Sisi makabila yetu yaliyo last 5 tusemeje?
Nbs nenda utazipata piaTakwimu yeye katoa km nani na nbs kazi yao nn?
Hyo ni acknowledgement SIO ukabilaFIkira za ukabila ni fikira duni na za kipumbavu
Mtoa mada subiria povu jingi kwa watu wa makabila ambayo hayajatajwa
Warombo ni kabila kama ulikuwa hujui 😀Hivi kuna kabila la wanyatunzu??? Basi kama ni hivyo hata warombo, wamarangu nao ni kabila.
Mzawa unamaanisha mwafrica au. Coz mwarabu yupo hapa karibu miaka mia 5 sasa wakati inawezekana kuna waafrica wamehamia wakawakutaSasa mada inajadili wazawa karibu