The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Aisee, Afu afike mpaka 2030,Twafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA tayari mmeshachanga milioni 700 ya gari la Lissu?Kwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Yaani wewe unawaza chadema kila sikuChadema bhana 😂😂
Haa Nchi Hii JamaniNaye akajipimia bandari
Rais hupashwi kufanya utani wa namna hiyo. It gives an impression that you are loose and therefore one in a position to loot can loot!Binafsi naangalia matendo Kauli naweza kumpa mtu benefit of a doubt kwamba alikuwa anatania.., ila kwa vitendo pia kwakweli inabidi kuongeza Bidii
That was then..., now politicians even presidents can utter some statements which makes you cringe..., Na point yangu kubwa hatuhitaji kwenda kwenye statements hata deeds hazirizishi.... Ukizingatia deeds sio maneno matupu na yanavunja mfupa...Rais hupashwi kufanya utani wa namna hiyo. It gives an impression that you are loose and therefore one in a position to loot can loot!
exactly, baada ya statements deeds zinaonesha ku support wizi!hata deeds hazirizishi....
Majitu mengine sijui huwa yanatoka wapi aisee. Jitu na akili zake linaongoza watu linasema jipimieni najua mnapata. Kiongozi la hovyo kabisa kuwahi kutokeaKwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Mkuu unadhani aliteleza? Sidhani hivyo. Hii ni sera ya awamu hii. Anataka uchaguzi wa 2025 viongozi wote wapigane apate tena hiyo nafasi. Pamoja na nguvu za urais alizonazo, bado ana wasiwasi sana kwa sababu anajua viongozi wengi wa CCM wanajua hana sifa za kuwa rais hata kidogo hivyo anaogopa asigeukwe wakati wa uchaguzi. Kwa kuwaachia namna hiyo anajua wataona ni bora aendelee ili wazidi kula.Kwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Baba ndubwi kala sana tu hadi kamba za wenzakeKwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Upuuzi tena???
Kwahiyo mpuuzi ni mama au mtoa mada?
Kwa mtu asiyestahiri?Kwa heshima na taadhima
Ndiyo walimwekea hayo maneno mdomoni mwake?Chadema bhana 😂😂