Pre GE2025 Recap: Hapa Rais Samia uliteleza kwenye ulimi, ukiweza rekebisha kauli hii

Pre GE2025 Recap: Hapa Rais Samia uliteleza kwenye ulimi, ukiweza rekebisha kauli hii

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu unadhani aliteleza? Sidhani hivyo. Hii ni sera ya awamu hii. Anataka uchaguzi wa 2025 viongozi wote wapigane apate tena hiyo nafasi. Pamoja na nguvu za urais alizonazo, bado ana wasiwasi sana kwa sababu anajua viongozi wengi wa CCM wanajua hana sifa za kuwa rais hata kidogo hivyo anaogopa asigeukwe wakati wa uchaguzi. Kwa kuwaachia namna hiyo anajua wataona ni bora aendelee ili wazidi kula.
We hupendi kulamba asali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hapo Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi alimaanisha kuwa viongozi wote na watendaji wote kutosheka na kuridhika na mishahara na stahiki zao zilizopo kisheria .na siyo kuanza kuingia tamaa ya kujipatia mapato au pesa haramu kwa njia haramu na zilizo kinyume cha sheria na miiko ya uongozi.
We hupendi kulamba asali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Ile nyengine alisema katika Ni kajikitabu tu, wakati katiba ndio ilimuweka madarakani.
 
Mkapa regretted the killings of Zanzibaris during the election when he was contesting for the second term if I am not mistaken!
No, he regreted after his retirement from state house, I stand to be corrected.
 
Yaani anawaona wanachadema mabozongo kabisa, ruzuku warambe halafu wachangiwe Tena.
Kuliko wale waliotuona watz mazoba kwa kulipa wenza wa viongozi? Mfano mama Salma analipwa mafao ya mumewe, ni mbunge, wamepewa Hadi nyumba ya bure!
 
Huna adabu kabisa wewe.huwa unajiandikia tu pasipo staha wala heshima.

..yeye mwenyewe anakiri Luna ufisadi kwenye kandarasi ya ujenzi wa meli.

..Sasa amechukua hatua gani zaidi ya kubembeleza majizi kuwa yale kwa urefu wa kamba?
 
Back
Top Bottom