Thus is bogus as it can beKwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thus is bogus as it can beKwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Sasa ndiyo ahalalishe upigaji? Kwamba mawaziri wasioneane wivu maana kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake? Alishindwa nini kukemea na kuhakikisha tabia hiyo chafu inakoma?Sasa najiuliza watu walitaka afiche yale yaliyokuwa yakifanyika huko kwa ground ??!
🙄😇
Hapana, ni NCCR Z.Nyie ni CCM B?
Hahaa hiki kibibi chenu sijui kinatupeleka wapi.
Kwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Kauli ya kipuuzi sana kutolewa na Rais tangu kuundwa kwa TanzaniaUpuuzi
Hali ni mbaya sanaKwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Tuwe wakweli tu - kwani huu upigaji umeanza kwenye awamu yake tu ??!Kwakifupi kabisa, bila unafki...huyu mama hatoshi urais, kabebwa tu na katiba!.
Hiii !!Hebu fikiria hii kauli mwigulu kaisikia, january, unategemea nini?
Mzanzibari huyu hatufaiKwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Akiwezesha Katiba mpya bora ikapatikana na uchaguzi ukawa Huru na wa Haki basi atakuwa ameyafuta mapungufu yoootee !! 🙏🙏Kwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Uko sahihi, atafuta kila kitu, maana katiba bora will take care of theseAkiwezesha Katiba mpya bora ikapatikana na uchaguzi ukawa Huru na wa Haki basi atakuwa ameyafuta mapungufu yoootee !! 🙏🙏
Au nasema uongo nduguzanguni ??!
Jipimiee..😄😄Kwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
Hii kauli ndio inanifanya binafsi nisimuamini kabisa Samia. Alitoa ya moyoni mwake hadharani kwa kusudi au kwa bahati mbaya. Yeye moyoni kwake anakubali watumishi wa umma wale hela ya umma. Bila shaka hata yeye anakula hela ya umma. Kauli kama hiyo haistahili kutolewa na rais yeyote hadharani. Ingekua hizi nchi wanaojidai wnafuata utawala wa sheria angebanwa hadi ajiuzulu. Mara baada ya kauli hiyo watumishi wa umma wakajua mama yuko poa tu mtu kula hela ya umma mradi ujipimie usivimbiwe. Sasa hapo pa kujipimia maana kila kigogo wa umma ana saizi yake ya tumbo. Je yeye ana uwezo kudhibiti kila kigogo wa umma ana kula kiasi gani?Kwa heshima na taadhima, Kama kuna njia unaweza kurekebisha kauli hii, itapendeza au kuifuta kabisa, sijui . It is one of the worst, devastating statement from your mouth!
View attachment 2994089
