Pre GE2025 Recap: Hapa Rais Samia uliteleza kwenye ulimi, ukiweza rekebisha kauli hii

Pre GE2025 Recap: Hapa Rais Samia uliteleza kwenye ulimi, ukiweza rekebisha kauli hii

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapo Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi alimaanisha kuwa viongozi wote na watendaji wote kutosheka na kuridhika na mishahara na stahiki zao zilizopo kisheria .na siyo kuanza kuingia tamaa ya kujipatia mapato au pesa haramu kwa njia haramu na zilizo kinyume cha sheria na miiko ya uongozi.
Wote sisi ni watanzania na Kiswahili ni lugha ya Taifa,usifikiri kila mtu ni chawa kama wewe. Bora ungekaa kimya tu
 
Angejua wananchi wanavyomchukia kwa kauli hii asingekuwa anacheka nao.
 
Yaani anawaona wanachadema mabozongo kabisa, ruzuku warambe halafu wachangiwe Tena.
 
Angejua wananchi wanavyomchukia kwa kauli hii asingekuwa anacheka nao.
Wananchi wepi hao unaowazungumizia? Maana ukipita huku mitaani kila mtu anampongeza na kumsifu Rais wetu kwa uchapa kazi wake uliotukuka na wenye kugusa maisha ya watu.
 
Aisee, Afu afike mpaka 2030,Twafa
Rais Samia ndoye chaguo letu mpaka 2030. Ameonyesha uwezo mkubwa wa kiongozi na ndio maana tunampatia muhula wa pili. Amekuwa uchumi kwa uharaka na uchumi wetu unafanya vizuri ukilinganisha na majirani zetu. Amezibiti mfumuko wa bei,amejenga miundombinu mbalimbali na kusogeza huduma karibu na mwananchi pamoja na kujenga uchumi shirikishi ,kwa kuwekeza kwenye sekta zinazogusa maisha ya watanzania wengi kama vile kilimo .ambapo kwa sasa bajeti ya kilimo imefikia Trilioni moja na point.
 
Majitu mengine sijui huwa yanatoka wapi aisee. Jitu na akili zake linaongoza watu linasema jipimieni najua mnapata. Kiongozi la hovyo kabisa kuwahi kutokea
Naona kichwani umejaa msongo wa mawazo na kukosa malezi mazuri ya wazazi wako. Hasira zako hakikisha kwako adabu peleka nyumbani kwako huko. Utake usitake watanzania tumeamua kwa wingi wetu na kwa mamillioni kumpeleka Rais Samia Ikulu kwa kishindo hapo mwakani. Kwa hiyo jiandae
 
Ni kama tu Jiwe na yeye aliwaruhusu wale Yange yange kukusanya hela za kubrashia viatu! Baada ya hapo hali imekuwa ni tete kweli kweli.
 
Back
Top Bottom