Pre GE2025 Recap: Hapa Rais Samia uliteleza kwenye ulimi, ukiweza rekebisha kauli hii

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
We hupendi kulamba asali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
We hupendi kulamba asali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Ile nyengine alisema katika Ni kajikitabu tu, wakati katiba ndio ilimuweka madarakani.
 
Mkapa regretted the killings of Zanzibaris during the election when he was contesting for the second term if I am not mistaken!
No, he regreted after his retirement from state house, I stand to be corrected.
 
Yaani anawaona wanachadema mabozongo kabisa, ruzuku warambe halafu wachangiwe Tena.
Kuliko wale waliotuona watz mazoba kwa kulipa wenza wa viongozi? Mfano mama Salma analipwa mafao ya mumewe, ni mbunge, wamepewa Hadi nyumba ya bure!
 
Huna adabu kabisa wewe.huwa unajiandikia tu pasipo staha wala heshima.

..yeye mwenyewe anakiri Luna ufisadi kwenye kandarasi ya ujenzi wa meli.

..Sasa amechukua hatua gani zaidi ya kubembeleza majizi kuwa yale kwa urefu wa kamba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…