Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili nyie mupumuliwe kisogoni si ndio?Nini Kimetokea? Kuna Watu wamechoka Kupumuliwa Kisogoni?
Haya sasa Hamtapumuliwa tena, Baada ya 11 Dec Baskeli yenu Ya Miti Itakuwa Imehitimisha Kazi Yake na Mtarudi Kwenye Nafasi Yenu Mnayostahili.....!
Martin Sanya wewe siobure Kuna kitu unatumia ukiwa umejifichamartini sanya unataka kusema kaupiga mwingi
Hapo inaonyesha wazi Kapombe aliondolewa kwenye reli kabla ya mpira kupigwa.Tunamshutumu refa, lakini yamkini alikua sahihi, ni mapungufu ya review za video za azam,
Angalia tena hii video then ndio ujajiView attachment 2030309View attachment 2030310
Yes and faki u tooNi ujinga Sana Yani mpira gani huu wamekariri Simba na yanga tu ndo wanapaswa washinde fu.ck you TFF fu.ck you body ya ligi fu.ck u marefaree
Aliyekwambia mpira wa miguu unachezwa bila kugusana kama taarabu Nani?Na evidence nimekuwekea
Mchezaji anahojiwa hapa anasema nilimgusa kidogo...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndio ushamgusa ivyo
View attachment 2030659
Yaani mtu usukumwe kwenda mbele ukiwa chini halafu utumie msukumo huo kuruka juu na mikono yote juu kama unacheza Get up stand up ya Bob?Na evidence nimekuwekea
Mchezaji anahojiwa hapa anasema nilimgusa kidogo...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndio ushamgusa ivyo
View attachment 2030659
Hata mie nashangaaYaani mtu usukumwe kwenda mbele ukiwa chini halafu utumie msukumo huo kuruka juu na mikono yote juu kama unacheza Get up stand up ya Bob?
Uku siyo mahara pake peleka kwenye MMichezo na Burdani kama ungekuwa wewe ungefanya je?Jana kulikuwa na mtanange baina ya Simba na Geita Gold. Kwa kweli niwasifu sana vijana wa Geita Gold walivyowapeleka puta wachezaji wa Simba. Kwa hakika Geita Gold walicheza vizuri kuliko Simba. Kinachonisikitisha ni kuwa goli la wazi la kusawazisha lilikataliwa na refa kuwa mfungaji alimsukuma Shomari Kapombe. Tukio hilo lilirudiwa mara nyingi na mfungaji kamwe hakumsukuma Shomari Kapombe. Kwa kweli inauma sana ukichukulia kuwa Geita Gold bado ni timu changa. Nawashauri TFF iwachukulie hatua aina ya marefa kama yule wa jana.
Habari na hoja MCHANGANYIKO! Unaelewa nini maana ya neno MCHANGANYIKO hapo?Uku siyo mahara pake peleka kwenye MMichezo na Burdani kama ungekuwa wewe ungefanya je?
Au unatapikaYaani mtu usukumwe kwenda mbele ukiwa chini halafu utumie msukumo huo kuruka juu na mikono yote juu kama unacheza Get up stand up ya Bob?