Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Dah maza Hana hata meno maskini anaongea kama mtu aliyejikatia tamaa,eti mtu ana mikopo mi5 afu kasepa,kwani Maafisa waloshuhulikia hiyo mikopo si wapo?haya hili nalo wakalitazame 🤣🏃Kwanini Wakurugenzi, Bodi za Mashirika 14 yanayojiendesha kwa hasara waendelee na kazi zao?
Mashirika haya yamepata hasara kubwa sana
Mashirika haya yana Wakurugenzi na Bodi ambazo kazi yake ni kuweka malengo ili mashirika yafanikiwe, je kwanini waendelee kuwepo ofisini?
Rais Samia kama una uchungu wa nchi anza na hizo bodi, Wakurugenzi na Wasaidizi wao wote waondolewe kazini
Mashirika yafutwe
ATCL
NDC
TRC
TIB
Hatujakoma kwa yaliyotokea kwa wahindi? Mwekezaji aliklchukua spare part hadi vichwa vya tremi akapeleka kwaoTRC isifutwe bali atafutwe mwendeshaji, ikiwezekana kampuni ya nje ya nchi. Watumishi wa Serikali jawana kabisa weledi wa biashara au uchumi.
Hata hivyo ni sawa maana kama ATCl haijawahi kua na faidi lakini private companies wanapambana ivo ivo, so tatizi ni ile kasumba ya mali ya serikali ndo inafanya watu wawe wazembe na wapigaji.... na hatabkuwapa wazungu waendeshe bado watabanwa tuu na wahuni kwakua watajua nanmna ya kuwawajibisha wasipotekeleza intrest zaoHayo mashirika ni mali ya taifa yaani assets hivyo huwezi kuyabinafsisha kwa watu binafsi.
Serikali yaweza tu kutafuta management ambayo ina utaalam wa uendeshaji na ikaingia nayo mkataba maalum.
India shirika lao la ndege Air India laongozwa na muingereza na ana ujuzi wa kusimamia mashirika mbalimbali ya ndege ya kimataifa.
Tukubali sisi baadhi ya waafrika akili zetu tumeziweka rehani.
Ukweli ni kwamba watanzinia hatuna nia hata robo ya kuletea taifa faida.... hutuna tunalo weza zaidi ya kufilisi mzee toka enzi za mwalimuUkisema yafutwe unakuwa wajishusha sana kifikra.
Toa wazo la kuleta tija.
Sasa kama imetushinda ??Unarudi kipindi cha Mwinyi[emoji23][emoji23][emoji23], utabinafsisha nchi nzima mwishoe wakuchukulie nchi yako yote.
Government Procurement Services Agency.Hivi GPSA na PPRA wana tofauti gani?
Dah! Kwaio kumbe zipo tu yan ni swala la kochota na kujipimiaHata yeye anapaswa kufutwa👇
View attachment 2569951
Sijaelewa,nini tofauti ya kazi zao?Government Procurement Services Agency.
Nchi ya kufanyana hamnazoWatoa maamuzi wa TRC iendeshweje, ndio wenye malori ya kusafirisha mizigo na mabasi ya kubeba abiria nchi nzima. Usione basi limeandikwa SUMRY ukadhani ni la yule mkinga pekee. Usikute hata akina Jeni Mhagama womo au Selous, akina Makinda ya ndege nao wamo
Wamemtuma kijana wao neppie ili kuua ttcl wameona haitoshi. Hivi kusema ttcl wana mkongo eti hakuna ushindani sawa, hapo ni suala la hasara kwa shirika la ttcl au ni kukingia kampuni binafsi ushindani. Kwani serikali kukusanya kodi toka raia ni biashara? Kazi ya kodi ni nini kama sio pia kuendesha mashirika ya huduma muhimu kwa faida ya jamii. Kwa nini waone uchungu shirika kama ttcl likitoa huduma kwa bei nafuu kwa raia. Halafu ujue huyu mama hakuna kitu anajua. NDC ni shirika la biashara? Au hajui kazi ya NDC? Wanaacha kusimamia uadilifu na tija badala yake wanalihujumu ttcl kwa maslahi yao kwenye mashirika binafsi. Mtu kama magufuli asiye na mawaa alitoa nguvu yake kuimarisha ttcl sasa wahuni wameingia kutaka kuliua shirika.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo amepokea ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) pamoja na TAKUKURU. Katika ripoti hiyo CAG aliyataja mashirika 14 yanayoendeshwa kwa hasara ikiwemo TRC, ATCL na NDC. Rais Samia alisema kwa muda baadhi ya makampuni yamekuwa yakiendeshwa kwa hasara lakini hayaingizii serikali chochote ni bora yakafutwa ili kutoendelea kuleta hasara.
"Kuna haja ya kufanya tathimini kama baadhi ya mashirika ya umma yanafaa kuendelea kuwa nayo, yale yanayofaa yaendelee na yasiyo na tija yafutwe. Mashirika mengi yanachuma fedha kutoka serikalini lakini yenyewe haileti fedha serikalini" - Rais Samia Suluhu.
Lakini kwa upande wa TTCL, Rais Samia Suluhu anasema "TTCL na biashara ya simu kusema kweli imewashinda, tujiulize hivi kweli wanaweza kuendelea kufanya biashara ya sekta ya simu, kwanza wao wana mkongo, kwa kufanya biashara ya simu hakuleti mazingira sawa ya ushindani katika biashara hiyo na kampuni nyingine."
GPSA hununua kwa niaba ya Serikali, PPRA wao husimamia manunuzi na taratibu kupitia mtandao wao wa tanepsHivi GPSA na PPRA wana tofauti gani?
Nataka kufanya comment kama ya kwako .naona hata ikulu ibinafsishwe tu jamani maana hatuwezi kuwa na rais asiyekuwa na tija wala kuumiza kichwa kujua changamoto ni ipi kitu kikiienda ndivyo si vyo tunakimbilia ubinafsishaji kama shortcutHata serikali ikiwemo Ikulu ikifanyiwa tathmini tunaweza kuja na pendekezo ivunjwe kwa kukosa tija.
Ni kwa sababu kila mtu anataka kula homo kuanzia waziri hadi mfagiaji anapewa unit za bure bado maposho makubwa kubwaHIVI inakuwaje Shirika kama TANESCO kuendeshwa kwa HASARA?
Watawala wanapenda sana shortcut yaani kitu kikishindikana na kikaaenda ndivyo sivyo solution ni ubinafsishajiMambo mengine Serikali yetu iwe inajifikiria,hivi unawezaje kukuza uchumi bila njia za Reli.wewe kama Serikali kwa nini usisimamie mpaka hiyo TRC itengeneze faida.