Leslie Mbena
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 207
- 677
RIPOTI YA SIEIJI;
Serikali ilipanga kukusanya Trillioni 33.105 lakini ilikusanya Trillioni 31.519 sawa na 95% - CAG
kama ufaulu huu ni A plus.
Haijawahi kutokea Serikali kukusanya 95% ya matarajio ya kibajeti.
Kumchafua kote Hayati Rais Magufuli kumbe sababu kapata A.
Dunia ina mambo sana.
Pumzika kwa amani Rais Magufuli.
Serikali ilipanga kukusanya Trillioni 33.105 lakini ilikusanya Trillioni 31.519 sawa na 95% - CAG
kama ufaulu huu ni A plus.
Haijawahi kutokea Serikali kukusanya 95% ya matarajio ya kibajeti.
Kumchafua kote Hayati Rais Magufuli kumbe sababu kapata A.
Dunia ina mambo sana.
Pumzika kwa amani Rais Magufuli.