Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mwaka wa Fedha 2019/2020

Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mwaka wa Fedha 2019/2020

RIPOTI YA SIEIJI;

Serikali ilipanga kukusanya Trillioni 33.105 lakini ilikusanya Trillioni 31.519 sawa na 95% - CAG

kama ufaulu huu ni A plus.

Haijawahi kutokea Serikali kukusanya 95% ya matarajio ya kibajeti.

Kumchafua kote Hayati Rais Magufuli kumbe sababu kapata A.

Dunia ina mambo sana.

Pumzika kwa amani Rais Magufuli.
 
RIPOTI YA SIEIJI;

Serikali ilipanga kukusanya Trillioni 33.105 lakini ilikusanya Trillioni 31.519 sawa na 95% - CAG

kama ufaulu huu ni A plus.

Haijawahi kutokea Serikali kukusanya 95% ya matarajio ya kibajeti.

Kumchafua kote Hayati Rais Magufuli kumbe sababu kapata A.

Dunia ina mambo sana.

Pumzika kwa amani Rais Magufuli.
Jiwe kaondoka na harudi tenaaaaaaaaaa. Hutapata teuzi rudi kijijini ujishughulishe na kilimo, uvuvi na ufugaji. Si una masters wewe? Itumie kwenye ujasiriamali kukuza pato lako na la taifa siyo porojo na blah blah jamvini.

Kamoooonn!
 
Mungu anawaona hawa watu. Leo hii wanamuona hana maana lakini muda utaongea. Heshima na fadhila alizotuachia Hayati JPM haziwezi kupotea bure bure... haongei lakini hii vita ataishinda...
 
RIPOTI YA SIEIJI;

Serikali ilipanga kukusanya Trillioni 33.105 lakini ilikusanya Trillioni 31.519 sawa na 95% - CAG

kama ufaulu huu ni A plus.

Haijawahi kutokea Serikali kukusanya 95% ya matarajio ya kibajeti.

Kumchafua kote Hayati Rais Magufuli kumbe sababu kapata A.

Dunia ina mambo sana.

Pumzika kwa amani Rais Magufuli.
Cha kushangaza siku hizi baada ya Jiwe kuvuta huweki mbwembwe chini ya thread zako namba yako ya Simu na vielelezo vya elimu yako 'mastaz'
 
Mungu anawaona hawa watu. Leo hii wanamuona hana maana lakini muda utaongea. Heshima na fadhila alizotuachia Hayati JPM haziwezi kupotea bure bure... haongei lakini hii vita ataishinda...
Kama ulivyoandika "Hii vita ataishinda..."
 
RIPOTI YA SIEIJI;

Serikali ilipanga kukusanya Trillioni 33.105 lakini ilikusanya Trillioni 31.519 sawa na 95% - CAG

kama ufaulu huu ni A plus.

Haijawahi kutokea Serikali kukusanya 95% ya matarajio ya kibajeti.

Kumchafua kote Hayati Rais Magufuli kumbe sababu kapata A.

Dunia ina mambo sana.

Pumzika kwa amani Rais Magufuli.
Nani kazungumzia MAPATO ambayo kwanza ni uporaji wa fedha za wafanya biashara kupitia DPP


Tunazungumzia MATUMIZI

Ngoja mwamba amalizie funda moja la mwisho aje na madudu mengine

FB_IMG_1618026386744.jpg
 
RIPOTI YA SIEIJI;

Serikali ilipanga kukusanya Trillioni 33.105 lakini ilikusanya Trillioni 31.519 sawa na 95% - CAG

kama ufaulu huu ni A plus.

Haijawahi kutokea Serikali kukusanya 95% ya matarajio ya kibajeti.

Kumchafua kote Hayati Rais Magufuli kumbe sababu kapata A.

Dunia ina mambo sana.

Pumzika kwa amani Rais Magufuli.
Akili za kisisiemu kabisa hizi
 
Jiwe kaondoka na harudi tenaaaaaaaaaa. Hutapata teuzi rudi kijijini ujishughulishe na kilimo, uvuvi na ufugaji. Si una masters wewe? Itumie kwenye ujasiriamali kukuza pato lako na la taifa siyo porojo na blah blah jamvini.

Kamoooonn!
Afate maelekezo atafanikiwa huko anakokwenda hakuwez kumsaidia...!
 
Nani kazungumzia MAPATO ambayo kwanza ni uporaji wa fedha za wafanya biashara kupitia DPP


Tunazungumzia MATUMIZI

Ngoja mwamba amalizie funda moja la mwisho aje na madudu mengine

View attachment 1749060
huu mwamba ulikuwa TRA, ukaondolewa kwa aibu, ukatupwa (in samia voice), ukatupwa kuwa katibu tawala vijijini huko, ukaenda, then ukatumika kama fimbo ya kukamilisha udharirishaji kwa asadi, ukapewa u CAG.

mpaka sasa nachokijua mimi, huu mwamba ulikuwaga unatengeneza report mbili moja ndio hii ingine ndio zile ulikuwaga unampa magufuri anazitumia kuudanganya uma wa watanzania, sasa this time around mwamba umerelease report moja na kusababisha taharuki zote hizi.

hii report magufuri asingeisoma, angeitumia kimyakimya kutumbua watu huku akificha mapungufu ya utawala wale. ngoja akajaribu kuongoza na majini huko alikokwenda. sababu ye mwenyewe alikuwa anajiona ni kiongozi ambaye hajawahi tokea kwa ujineous,
 
Kwa kifupi,Mh CAG sisi wananchi tupo nyuma yako. Mwogope Muumba Mbingu na Ardhi tu. Tumesikia mengi kuhusu kukwapuliwa kwa mabilioni katika maeneo nyeti. Tumeziona kwenye mitandao mbalimbali. Ukweli wote unao wewe. Ukisema ukweli Mwenyezi Mungu atakubariki Duniani na Akhera. Nakutakia daima kazi njema. Asante.
 
Back
Top Bottom