Riwaya: Mwanamke Uliyekula Pesa Zangu Nakutafuta

Hapa tupo wengi sana tunaofuatilia simulizi ya bwana jina moja kaa mbwa. Lete mambo kijana
 
Jina moja kama mbwa anajifanya sterling katika nchi ya watu haha, pili mbona muda unazidi kwenda tu huko uhindini au amesahau kuwa yupo likizo na Dar pande za mwananyamala alishakaa muda mrefu zaidi ya wiki 3?!
 
Story tamu kwel, ila kama imepungua ujazo yaan imekua fupi
 
Zirefushe episodes zako na ni bora ziwe zinaishia sehemu inayompa hamasa msomaji ili azisubirie next episodes with curiousity.
 
Zirefushe episodes zako na ni bora ziwe zinaishia sehemu inayompa hamasa msomaji ili azisubirie next episodes with curiousity.
Ingawa sitafanyia kazi japo jambo moja ulilosema, nashukuru kwa ushauri. Asante sana.
 
Msisitizo

Kwa sababu ya mtindo wangu wa uandishi, ukubwa wa riwaya na mengine niyajuayo mimi, sitaweza kuleta kipande chenye zaidi ya maneno 500 kwa siku.

Malalamiko kuwa riwaya ni fupi yanapoteza ladha ya riwaya yenyewe, kwani badala ya kujadili yale yanayojiri kwenye riwaya, sasa tunajadili urefu wake.

Kama mimi nisivyowakera kwa kuwaomba hela ili niwape simulizi hii, basi nanyi acheni kunikera kwa kunihamasisha niongeze urefu wa simulizi badala yake turidhike na kidogo kilichotumwa huku tukisubiri mwendelezo.

mtaacha au niache?
 
tushaacha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…