Road map 2024: Muongozo kwa vijana wanaotaka kuoa mwaka huu

Umesomeka mabachelor mpite hapa
Kaalndika ujinga mtupu

Mke mwema hupatikana Kwa kuomba Mungu sio Kwa kumkodolea macho tu

Eti ohh wewe ndie uwe unemtia mimba huyo single mother mwanamke Gani mwenye heshima zake atakubali umtie mimba Kwa Rushwa laghai kuwa utamuoa? Wako kibao wametiwa mimba na wanaume wametelekeza

Tatu eti awe anakaa Kwa wazazi wake sio getto mjinga mkubwa mtu wazazi wake wako Mwanza yeye kapangiwa kazi Arusha atakaa Kwa mzazi wapi Mleta mada mjinga tu

Eti asiwe kalalewa na mama peke yake na kijana kama kalelewa na mama yake vipi.Kigezancha kulelewa na mama. Peke yake viko vingi kingine unakuta mtu alifiwa na mumewe kamwachia watoto

Kiujumla alichoandika ansonyesha hajakomaa akili baodo Mleta mada ni playboy mjinga Fulani hivi
 
Mkuu, mimi nachangia nikiwa kama mtu ambaye nimeishi miaka mingi na kuyaona mengi ktk miasha yangu ya mahusiano na watu walionizunguka.

Hayo yote uliyoyasema yana ukweli kwa 97%.
Ukiona Mzee mjinga ujinga wake haukuanza uzeeni unaanzia ujanani wewe ni mmojawapo wa wazee wajinga kama Mleta mada alichoandika kama unakiunga mkono una umri mkubwa lakini una akili za kitoto na ujinga huo haujakusitukiza tu uzeeni ulianza nao ujanani
 
Asante kwa ushauri, ni muda muafaka sasa for a wedlock in my life.
 
Sisi Huwa tunapokea mawazoyenu nyie mnavotaka mwisho wasiku tunajua hamzingatii mambo kma hayo kilamtu ana choice yake na kwenye mapenz formula ndo hakunaga
 
Kwa hiyo Paulo aliandika jinsi ya kupata mke Kwa vigezo Hivyo vya kibwege ulivyoandika wewe?

Uko bado kwenye stupid age wewe Mambo ya ndoa kaa nayo mbali mjinga wewe
Kumbe hii ndio id yako. Nishakujua nyangau
 
Sisi Huwa tunapokea mawazoyenu nyie mnavotaka mwisho wasiku tunajua hamzingatii mambo kma hayo kilamtu ana choice yake na kwenye mapenz formula ndo hakunaga
Tupo wachache tunaozingatia ndo maana tunakumbushana.
 
Kwengine sijapitia saana

Ila hapo kwenye namba E nimekupata uzuri kabisa yanii murua na ninaomba tuwe pamoja katika kusubiri namba F maana hata namba E zimekimbia kimbia sana zimeshasambaa 😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…