Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Mbona kama una muattack taikuni wetu as if u have personal issues nae?!

Kama una hoja kinzani kwann usiiwasilishe kwa namna ya utulivu badala ya hii ya kushambuliana.
Umesoma toka mwanzo, Umenisoma toka mwanzo?
Personal attack my foot. yeye amefanya nini.?



Unatizama upande mmoja na wewe.
Usinifundishe.
He is and will Remain A Misogynist . Bisha
 
Asante kwa ufafanuzi mkuu
 
Mbona kama una muattack taikuni wetu as if u have personal issues nae?!

Kama una hoja kinzani kwann usiiwasilishe kwa namna ya utulivu badala ya hii ya kushambuliana.
Achana nae huyo ana Intellectual Impairments
 
Inabidi tukuwekee ulinzi wa kutosha kuhani. Umekuwa mwiba mkali mno kwa hawa watu humu ndani. Nimeusoma huu uzi huku nacheka kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
 
nimejaaliwa kuusoma uzi woote bila kuacha neno ila niseme tuu kuwa umeandika dira nzuri na itakayowakomboa wenye kutaka japo kuna baadhi wamekuelewa vibaya kwa kudhani kuwa umewakataza kuwa na mahusiano na wanawake na hii ni kutokana na wao kutokuwa na uwezo wa kusoma na kuelewa walichosoma

Binafsi nilianza kuapply hii njia miaka kumi iliyopita japo sikuwahi kudondokea kwa hiyo mipakashume ila nikiri kuwa matunda yake nayaona
 
Inabidi tukuwekee ulinzi wa kutosha kuhani. Umekuwa mwiba mkali mno kwa hawa watu humu ndani. Nimeusoma huu uzi huku nacheka kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Piga Ua.....tu tsk tsk

Mambo ya Saviour mentality hayo yakhe.
 
Unataka Watoto wazuri, nenda Casino, nenda club chagua mtoto mkali mlipie siku tatu, kisha mkiachana endelea na Maisha mengine. Fanya Maisha yako.
Kama mtoto kakupa vitu vitamu akili lazima itamganda tu
 
Inabidi tukuwekee ulinzi wa kutosha kuhani. Umekuwa mwiba mkali mno kwa hawa watu humu ndani. Nimeusoma huu uzi huku nacheka kweli[emoji23][emoji23][emoji23]

😀😀
Mtu akishakuwa Zuzu anahaki ya kutambulika Kama Zuzu, na tutampa Haki zake.

Huyo Zuzu na watu mfano wake kuna Wakati inabidi ujadiliane nao ili kumfanya/kuwafanya nao wajihisi ni sehemu ya jamii.
Sio kila Wakati utawapuuza Watu Kwa uzuzu wao.

Kheri ya Mwaka Mpya Mkuu
 
Unataka Watoto wazuri, nenda Casino, nenda club chagua mtoto mkali mlipie siku tatu, kisha mkiachana endelea na Maisha mengine. Fanya Maisha yako.
Kama mtoto kakupa vitu vitamu akili lazima itamganda tu

Vitu vitamu ni vile attitude yako utakavyoiweka juu ya MTU husika.
 

Barikiwa Sana Mkuu.
 
A Misogynist is A Misogynist.

Utaeleweka tu!
Utajificha chakani, Tutakuibua tu.

Utawakumbuka Baba Kaka na Mama dada wako.
 
Mkuu wengi humu tunamkubali nakufuta anayoandika tuliza mshono kama hautaki kufuata
 
Shida ni kwamba, hauwezi kuwapuuzia. Na ndio wanafanya tutafute pesa Kwa nguvu na jitihada zote.

Mwanamke akikukataa unaitafuta pesa Kwa hasira zote kuweka heshima.
Kama ni hivi basi malengo hujayaweka sawasawa. Tangu nazaliwa, kujituma ndani ya maisha yangu hakujawahi kuendeshwa na uwepo wa mwanamke. Ninamalengo ila kamwe hayaendeshwi na uwepo wa mwanamke.
 
Mkuu wengi humu tunamkubali nakufuta anayoandika tuliza mshono kama hautaki kufuata
Ruhusa haitoki kwangu.
Wewe mkubali tu...
Simjui, nitakuwaje na shida nae?
Shida yangu ni

... kuwa anacho andika sio Maadili ya Mwafrika, sio za Tamaduni za Mwafrika.

Nikidai hicho, kinawauma, mnaanza na matusi...atete namie nitete...hakuna mshindi hapa

Kwa lugha anayotumia Ni Misogynism a Racist Misogynist

yeye na Mazuzu wake na mie na maono yangu. Tatizo lipo wapi?
Nimuachie amezeshe sumu?- Vile Language.?

Karibu kwenye duru la "Uhuru wa Kuropoka"
 
Mkuu kuna ubaya gani tukishauriwa tusiwape pesa kizembe wanawake malaya wala kua na mda na ukaribu nao? Mkuu kwani tukiachana na hawa malaya tukatengeneza maisha yetu kuna tatzo gani?
 
Mkuu kuna ubaya gani tukishauriwa tusiwape pesa kizembe wanawake malaya wala kua na mda na ukaribu nao? Mkuu kwani tukiachana na hawa malaya tukatengeneza maisha yetu kuna tatzo gani?
Wapi aliposema msiwape pesa Wanawake Malaya? Inawezekana hapo sikusoma au wewe unakisia kisia tu ndilo alivyomaanisha....na kwa mantiki hiyo atakuwepo mwingine atakaye kisia kwamba anamaanisha ampuuze hata mama yake? au na huu ndio "Uzuzu" anaolazimisha?

Au tunazungumzia Ukimbari tena? Kwani umekosa Pisi kali wa aina yake anayotangaza humu?


Au "Wanawake Malaya" sio Wanawake kamili....hawana maku?

Ataeleweka tu.

...endelea na maisha yako mie sina la kukuahidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…