Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

....na ukileleta uhuni au ubaya lazima matokeo yake yawe kashfa, kejeli matusi na dhihaki na madharau, kwa hayo, ni haki yangu kukurudishia hayo juu!
Uwe Baba Heriel, Baba Swalehe au Swalehe.

endelea
 

Mimi ukiona MTU nimemuita Zuzu jua ni kweli ni Zuzu.
Sijamuita ili kumuoena, ni kawaida yangu kuwapa Watu Haki zao.

Kujadiliana naye ni just for Funny,
 
Mimi ukiona MTU nimemuita Zuzu jua ni kweli ni Zuzu.
Sijamuita ili kumuoena, ni kawaida yangu kuwapa Watu Haki zao.

Kujadiliana naye ni just for Funny,
Najua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚naelewa taikoni wa fasihi
 
....na ukileleta uhuni au ubaya lazima matokeo yake yawe kashfa, kejeli matusi na dhihaki na madharau, kwa hayo, ni haki yangu kukurudishia hayo juu!
Uwe Baba Heriel, Baba Swalehe au Swalehe.

endelea
Eeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚we kumbe hamnazo
 
Absolute, zote ni projects tena planned

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Achukue fom 2025[emoji23]
 
Apa kaongelea mijike fulan iv inayofanya wanaume kama mitaji , hakuna mwanamke anakuja kwako tu bila kuvutwa na kitu fulani iwe mama na hata dada zngu .
 
[emoji23]
 
Kabsa mkuu yani unaona mpangilio wa ubongo wake live kabsa

Mbona unawaza maasi hivi ndugu. Yaani kwako wewe unaamini maisha ya mwanamke yanaendeshwa na uepo wa mwnaume and never vice-versa. Unaeneza chuki kupitia personal attacks kwamtu aliyeamua kujiweka mbali na wanaume kwasababu tu ya mapitio aliyopitia baada ya kujihusisha nayo. Tangu utotoni naliona mwanaume alivyojitahidi kujitenga na mwanamke hata kuleta mashindano aonekane bora na hata ndani ya mahusiano nimepitia various consequences kwakumsaidia mtu ambaye anaamini ni bora kuliko jinsia nyingine. Hamkuwafunza wala kuwachunga madogo juu ya haya kwawanayojaribu kuyapush unnecessarily ila leo wataka kumtukana na kumpa lawama syllo kuwa anaeneza chuki. Be careful my brother. Hamna mtu asiyependwa kujali, the more you push them away the more they will continue to pull away. That is what men did, bila kujua a reverse card when played on you, you will surely cry and regret. Yalitabiliwa haya ndugu, chungeni madogoi sio kutupia lawama mabinti. Ila pia kasi na hamu ya kujitafutia ikiletwa na mwanaume basi hukua na maono juu ya future yako, maana mwanaume awepo asiwepo I still want a good house, an expensive car, to heavily support my parents and relatives and live a life not worrying about having less cash. Acha chuki chief.
 
Hulda, Nimekuelewa, kongole lakini usimuamishie goli...
(pre- emptive strike)
inawezekana akaja kudai hayo, kuwa anayosema na kuandika si sheria!


"Wacha inyeshe tuone panapovuja!
Uzuri kila mtu atakuwa analia akiwa kwake. Wapo wataotafuta kumwambia bwana Robert kwanini ulitudanganya, naye atawaambia "MANENO YANGU SIO SHERIA" 🀣🀣🀣" au mwisho wa kunukuu
 

Ha ha, Msomi sana Jamaa, Amazing caricature...Anaweza kufundisha mpaka Chuo Kikuu!
Mie naona apewe Uwaziri fulani hivi katika nyanja yeyote ile uliyotaja.

Chawa mzuri wa Kuwavaa watu.
 
Alikuwa na Makazi Dsm?
 
Noted!!!! 2023 na ahsante...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…