Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Mkuu unataka mpewe pesa za bure nyie wanawake?
 
Daaa umenigutua usingizini kabisa. Kuna kadada kalikuwa kameshaniingiza king kabisa eti ili tudate nikanunie Kwanza Hisence nchi 42 na makochi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Wakati hata Binti kiziwi hajawahi niletea hizo pigo pamoja na kuwa ni a a first class women😊😊😊😊😊
 
Mkuu mbona unawasagia kunguni wanawake, wakati wameumbwa kwa ajili yetu.........wanawake wote kwa asili ni materialistic, labda umchonge ambaye hatakuingiza kwenye gharama yoyote. Wanaume kushindwa kupambana na kuwapa hawa wanawake vitu vyote vizuri wanavyohitaji si tatizo la hao wanawake, ni la wanaume wenyewe.......​
 
Pongezi kwako kwa kufariji wanaume maskini ila nikuambie huwezi pata madini bila kusotea mgodi na pia maua lazima yamwagiliwe ili yachanue.

Sio kwa nia mbaya

Nyuki hufuata maua na maua hayafuati nyuki, kwa tafsiri hiyo wewe jipange kimaisha ukikaa vyema tafuta mpango wa familia sasa sio ukurupukie mapenzi huruma za kifala ukidhani ni wenzako hao utaachwa solemba bila aibu
 
Hii thread is Worth kufungulia mwaka…
 
Nyongeza; Kama unahisi umeshapigwa na dem kwa waganga hujielewi kula dozi ya kuoga maji yaliyochanganywa na chumvi ya mawe limbwata yote kwisha kazi. Wajinga sana hawa watu usipokuwa makini nyimbo ya Mark Muga itakuhusu mbeleni
Wale wanaoga kwenye Shower hawatakuelewa…
 
Nyongeza; Kama unahisi umeshapigwa na dem kwa waganga hujielewi kula dozi ya kuoga maji yaliyochanganywa na chumvi ya mawe limbwata yote kwisha kazi. Wajinga sana hawa watu usipokuwa makini nyimbo ya Mark Muga itakuhusu mbeleni

Kasikilize nyimbo ya Juwatta jazz band waliyomshirikisha Nico Zengekala
 
Tafuta binti mwenye maadili fanya nae maisha Ila angalizo usije kumpa moyo wako Kwa asilimia 100. Mpe asilimia 10 na hizo nyingine 90 ziwe Kwa lolote linaweza kutokea!

Fanya projects zako utaona maendeleo. Starehe za wanawake hufilisisha.


Huu ndio ukweli


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wanawake ni ajabu sana Tena umesema yote.

Imagine anakupenda mwenyewe baadae anataka pesa ya kumtunza hii kitaalam inaitwa "kujiajiri". Kwamba anataka kila kitu kwako umuhudumie na pesa ya matumizi.
Unashangaa nin ndo maana ya kummiliki, ukikimiliki kitu lazima utakihudumia na mwanamke anammiliki mwanamke.

Ndo maana mwanamke akitaka kufanya jambo anaomba ruhusu kwa mwanaume wake anayemmiliki tofauti na mwanaume anamtaarifu tu mwanamke

Ukitaka mwanamke ajitegemee kwa kila kitu kwenye mahusiano technically huyo atakua feminist na mahusiano yatavunjika mda sio mrefu
 
Maweeee!! huo ni uchoyo wa kula Mbususu peke yako!! wanawake walivo na ngozi laini, vimacho vizuri, usisahau vitako/mbususu matata zenye panki, tamu ivo nani aache????.......

acha wafie kwa mbususu ni haki yao km me kuzifia!! sasa unataka Dume zima lile na kunywa tuuu!! rijaze Makalio?? halafu iweje? km siyo kutumiwa? Samsoni hakuwa mjinga, alikufia kwa haki, na nyie kufeni ivovio tu!

huyu Taikon wa fashi mjanja sana, anataka ale mbususu peke yake, wanaume msidanganywe kirahisi ivo!!! Mbususu ndo kila kitu! kazi mwafanya ajili ya mbususu tena imeleta Ma Rais, wafalme! wafanya biashara wakubwa!..

wajeda Matata!! sasa weye mwana JF acha./puuza Mbususu, ufe maskini! ukose mchango Duniani!.....wajanja wanazitafuna mpaka zinalia pooo! eti jitu zima na Rijali upuuze kirahisi tu!...anawajribu huyo mpuuzeni wajameni!!

Mungu alisema muishi na Mbususu kwa akili, km ukishindwa hapo akili huna!...cheza na akili zao hao ke mpaka wakulipie wao!...ukishindwa huna akili!

Tena Mungu huyo huyo! kasema katuagiza namnukuu----'' Nendeni ( yaani ke na me) mkaijaze nchi!! sasa mawazo ya kumpinga Mzee wa siku yametoka wapi km siyo kwa Shetani ? kuptia Taikoni wa fasihi?

sijui ulisomea wapi weye Siasa ya nchi inasema Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne navyo ni...... watu.......sasa utawapataje wkt huoi???......si mlifundishwa ivo shuleni???

Dume zima kabisa ule tuuu na kujaza Makario? kweli?? ina Maana falsafa ya kuku jogoo, iko juu zaidi yako!! kwa sababu Jogoo kuku! anampenda Mtetea Ever!! yuko tayari asile ili Mtetea ale!!

Acheni hizo tafuta hela!! Mademu zenu na watoto waleeee!! mpaka wapinduke!! msidanganywe!...jenga majumba hapo!! waachie weye tambaa na njia! ukifika huko tena anza moja toa pesaaa!

akikufukuza shukuru nenda tena kwingine anza moja tafuta mpaka ufe ndo kazi za vidume! haviogopi kufa, Leo Ukraine wanaume wanakufa ajili ya ke na watoto! potelea kwa mbali!

Lkn siyo kula mapochopocho chips kuku/nundu nzima/Maziwa mtindi peke yako eti wajaze Matako, ili wafe kwa pressure asa ukifa nani atakuzika???

Sasa ke woote nawaagiza ukikuta dume zima linakula peke yake bandani/Hotelini! piga makofi hilo!! halijitambui, km yuko na Demu msifie huyo!! km ana watoto na demu muongezee hela huyo!

Me msidanganyweeeee!! oa piga mashine kwa sana tuu!! zaa mitoto jaza hapo! ukifukuzwa, hewala m-busu kwa mbwembwe huyo! nenda mbele!......leta matumizi usijali wala kuogopa!
 
Kwanza muandiko ni kama wa mwanamke aliyeumizwa sana na kujikatia tamaa.

Anywaya Mbususu ndo kila kitu! kazi mwafanya ajili ya mbususu tena imeleta Ma Rais, wafalme! wafanya biashara wakubwa!

"Mbususu ndo kila kitu! kazi mwafanya ajili ya mbususu tena imeleta Ma Rais, wafalme! wafanya biashara"
[emoji115][emoji115]
Hao Marais na Wafalme walitoka kwenye pumbu na huko ndiko walikozaliwa. So huna hoja bado, vipi kama baba yako angekumwagia chooni ungezaliwa?[emoji38]
 
Hajasema hujitenge amesema ignore yaan usiendeshwe na mwanamke....
 
"acha wafie kwa mbususu ni haki yao km me kuzifia!! sasa unataka Dume zima lile na kunywa tuuu!! rijaze Makalio?? halafu iweje? km siyo kutumiwa? Samsoni hakuwa mjinga, alikufia kwa haki, na nyie kufeni ivovio tu!"
[emoji115][emoji115]
Dada unaonekana upo frustrated mno. Wapi na nani na kwa mamlaka ipi kasema kuwa ni haki mwanaume kuufia uke? Toa reference zenye tija.

Halafu kumbe hujaelewa post vizuri, ni lazima ule, unywe nk, hela si ni ya me au? Matumizi si ni yake? Acha kupangia watu matumizi ya hela ZAO.
 
"Mungu alisema muishi na Mbususu kwa akili, km ukishindwa hapo akili huna!"
[emoji115][emoji115]
Hopeless. Ni wapi alisema muishi na MBUSUSU kwa akili? Eti ukishindwa akili huna, wajinga wengi wameibuka kwa kasi na kuitafsiri Biblia huku wanajisaidia haja kubwa. Acheni kuichukulia Bible cheap kihivyo na kuitafsiri kishamba hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…