Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Wanawake ni ajabu sana Tena umesema yote.

Imagine anakupenda mwenyewe baadae anataka pesa ya kumtunza hii kitaalam inaitwa "kujiajiri". Kwamba anataka kila kitu kwako umuhudumie na pesa ya matumizi.
Huo ndio ujinga wao.
 
"wake na watoto wa Mkoloni waendelee kupeta miaka nenda rudi wakt weye Mbongo unafurahia kunenepesha makalio kibinafsi, hutaki kutunza mke na mtoto."
[emoji115][emoji115]

Nje ya mada. Nani kasema HATAKI KUTUNZA MKE NA MTOTO? WAPI? LETE SCREENSHOT AU TAG HIYO QUOTE? Unaforce nikufikirie vibaya wewe ujue. Sitaki nifike huko.

Sasa ni St gani wewe huwezi hata kupangilia hoja zako? Hoja za kishamba kabisa. Kwa hali hii utamfikia mother teresa kweli? Ulaji wa sembe madhara yake ndiyo haya.
 
Wanawake wenyewe wakisoma huu Uzi wakimaliza wanawasha feni.
 
Hayanibadilishi chochote. Jikite kwenye hoja kabila gani wewe? Mbona hujui kujenga hoja? Umekula?[emoji38][emoji28]
wala mie sitaki ubadirike ila kaa ujue D cameroon anakuja! hajawahi kuomba msamaha yule! na ke wataolewa na wengine tuu make nyie mmeshindwa
 
wala mie sitaki ubadirike ila kaa ujue D cameroon anakuja! hajawahi kuomba msamaha yule! na ke wataolewa na wengine tuu make nyie mmeshindwa
Sasa mtu mwenye akili kama zako hata ukiolewa na Biden kuna hasara gani[emoji38] Watatusaidia kupunguza taka taka tu. Ni nzuri.
 
Hoja za kishamba kabisa.
jibu rahisi hili kwa hoja ngumu!
i hii utamfikia mother teresa kweli? Ulaji wa sembe madhara yake ndiyo haya.
Teresa wala siyo role model wangu na wala sijawahi kumuwazia mpende tu kivyako!

sembe ndo chakula ya africa sijawahi tamani chakula ya ulaya ila kwa kuwa hupendi familia basi wazungu watakup bure ili mradi tu uwape wanacho kitaka!
 
Sasa mtu mwenye akili kama zako hata ukiolewa na Biden kuna hasara gani[emoji38] Watatusaidia kupunguza taka taka tu. Ni nzuri.
Inaonekana wazungu unawapenda sana! ila jua wanatabia mbaya
 
Hahaha ni kweli wakinisaidia nitakutoa wewe niwape ili tupunguze taka taka
 
Nani kasema HATAKI KUTUNZA MKE NA MTOTO? WAPI? LETE SCREENSHOT AU TAG HIYO QUOTE? Unaforce nikufikirie vibaya wewe ujue. Sitaki nifike huko.
yaani hata hujui kichwa cha habari cha somo mkuu??? kwa hiyo umekusudia kuropoka tu?? au
 
Lool safi sana! basi watakupa kila kitu unacho taka! kwetu sisi hutufai
Sasa wewe nani unamfaa?[emoji38][emoji28] of course sijakuambia km nakufaa na sina uhitaji wowote na wewe. Halafu usiseme kwetu sisi. Jiamini acha kutumia wingi kujificha. Jiongelee peke yako [emoji38][emoji38][emoji38] usiwatumie wanawake wenzio kujificha jiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…