Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Kama ni hivi basi malengo hujayaweka sawasawa. Tangu nazaliwa, kujituma ndani ya maisha yangu hakujawahi kuendeshwa na uwepo wa mwanamke. Ninamalengo ila kamwe hayaendeshwi na uwepo wa mwanamke.
Mhhh
 
Nasindikiza na dedication ya mbosso- yataniua. Make ujumbe huu unashabiana na huo wimbo
 
Mbona unawaza maasi hivi ndugu. Yaani kwako wewe unaamini maisha ya mwanaume yanaendeshwa na uepo wa mwanamke and never vice-versa. Unaeneza chuki kupitia personal attacks kwamtu aliyeamua kujiweka mbali na wanawake kwasababu tu ya mapitio aliyopitia baada ya kujihusisha nayo. Tangu utotoni naliona mwanamke alivyojitahidi kujitenga na mwanaume hata kuleta mashindano aonekane bora na hata ndani ya mahusiano nimepitia various consequences kwakumsaidia mtu ambaye anaamini ni bora kuliko jinsia nyingine. Hamkuwafunza wala kuwachunga mabinti juu ya haya kwawanayojaribu kuyapush unnecessarily ila leo wataka kumtukana na kumpa lawama mwanaume kuwa anaeneza chuki. Be careful my brother. Hamna mtu asiyependwa kujali, the more you push them away the more they will continue to pull away. That is what women did, bila kujua a reverse card when played on you, you will surely cry and regret. Yalitabiliwa haya ndugu, chungeni mabinti sio kutupia lawama vijana. Ila pia kasi na hamu ya kujitafutia ikiletwa na mwanamke basi hukua na maono juu ya future yako, maana mwanamke awepo asiwepo I still want a good house, an expensive car, to heavily support my parents and relatives and live a life not worrying about having less cash. Acha chuki chief.
 
Mbona unawaza maasi hivi ndugu. Yaani kwako wewe unaamini maisha ya mwanaume yanaendeshwa na uepo wa mwanamke and never vice-versa. Unaeneza chuki kupitia personal attacks kwamtu aliyeamua kujiweka mbali na wanawake kwasababu tu ya mapitio aliyopitia baada ya kujihusisha nayo. Tangu utotoni naliona mwanamke alivyojitahidi kujitenga na mwanaume hata kuleta mashindano aonekane bora na hata ndani ya mahusiano nimepitia various consequences kwakumsaidia mtu ambaye anaamini ni bora kuliko jinsia nyingine. Hamkuwafunza wala kuwachunga mabinti juu ya haya kwawanayojaribu kuyapush unnecessarily ila leo wataka kumtukana na kumpa lawama mwanaume kuwa anaeneza chuki. Be careful my brother. Hamna mtu asiyependwa kujali, the more you push them away the more they will continue to pull away. That is what women did, bila kujua a reverse card when played on you, you will surely cry and regret. Yalitabiliwa haya ndugu, chungeni mabinti sio kutupia lawama vijana. Ila pia kasi na hamu ya kujitafutia ikiletwa na mwanamke basi hukua na maono juu ya future yako, maana mwanamke awepo asiwepo I still want a good house, an expensive car, to heavily support my parents and relatives and live a life not worrying about having less cash. Acha chuki chief.
Unatumia nguvu zako kubishana na hili thenge??? Si uliweke kwenye ignored list??

Linabwata bwata tu halina point yyte ile!
 
Wapi aliposema msiwape pesa Wanawake Malaya? Inawezekana hapo sikusoma au wewe unakisia kisia tu ndilo alivyomaanisha....na kwa mantiki hiyo atakuwepo mwingine atakaye kisia kwamba anamaanisha ampuuze hata mama yake? au na huu ndio "Uzuzu" anaolazimisha?

Au tunazungumzia Ukimbari tena? Kwani umekosa Pisi kali wa aina yake anayotangaza humu?


Au "Wanawake Malaya" sio Wanawake kamili....hawana maku?

Ataeleweka tu.

...endelea na maisha yako mie sina la kukuahidi.
Bas sawa ila tafuta mshauri wa saikolojia utakua vizur tu mdada
 
Mbona unawaza maasi hivi ndugu. Yaani kwako wewe unaamini maisha ya mwanaume yanaendeshwa na uepo wa mwanamke and never vice-versa. Unaeneza chuki kupitia personal attacks kwamtu aliyeamua kujiweka mbali na wanawake kwasababu tu ya mapitio aliyopitia baada ya kujihusisha nayo. Tangu utotoni naliona mwanamke alivyojitahidi kujitenga na mwanaume hata kuleta mashindano aonekane bora na hata ndani ya mahusiano nimepitia various consequences kwakumsaidia mtu ambaye anaamini ni bora kuliko jinsia nyingine. Hamkuwafunza wala kuwachunga mabinti juu ya haya kwawanayojaribu kuyapush unnecessarily ila leo wataka kumtukana na kumpa lawama mwanaume kuwa anaeneza chuki. Be careful my brother. Hamna mtu asiyependwa kujali, the more you push them away the more they will continue to pull away. That is what women did, bila kujua a reverse card when played on you, you will surely cry and regret. Yalitabiliwa haya ndugu, chungeni mabinti sio kutupia lawama vijana. Ila pia kasi na hamu ya kujitafutia ikiletwa na mwanamke basi hukua na maono juu ya future yako, maana mwanamke awepo asiwepo I still want a good house, an expensive car, to heavily support my parents and relatives and live a life not worrying about having less cash. Acha chuki chief.
Usinitishe.

Kushangazwa na uliyonena ni Chuki?
Kajitathmini.
 
Mwambieni huyo huyo Robert Heriel....Kuwa kuna mwanzo na mwisho. Anajua hivyo. Mwisho wake wa kubwatuka bwatuka na kumwaga sumu katika Jamii, unafikia taamati.

Tukaneni matusi yote tu, mkiishiwa na hoja ndivyo mulivyo!!!...maanake ndio mmefikia mbio za sakafuni. Ni ishara ya Taamati.

SUMU zake kwenye Jamii ndio zinawawasha, ndizo zinawafumba macho na masikio.


Narudi tena, Robert Heriel ni Mwongo, yaani ni mtu wa kujificha kwenye chaka la Ushetani, ni Shetani. He is a Misogynist twaat Racist and a Bigot.

Kwa mtu "Anayejifanya ndiye" sie.

Imefikia Wakati Uongozi mkuu wa Jamii Forums Hususan Mmiliki wake;wakae chini na Kutathmini sumu zake kwenye Jamii, Hafai kabisa kuwemo humu. Ni mwongo na ana Hatarisha Usalama wa Afya ya Jamii na Usalama wa Taifa.

Niongeze , kwa nyie ambao mnamtetea, sioni ajabu kwani kwa namna moja au nyingine mna mwajiriwa mmoja. Genge lenu ni moja. Lengo lenu ni moja.... na kama anaona anahujumiwa apeleke Malalamiko yake kwa Uongozi wa JamiiForums. I dare you

Kwa wale wanaoona au kufikiri ni na chuki nae binafsi, niwahakikshieni, sina, simjui, nachojuwa ni kwa matamshi yake-bigoted, mchukia Wanawake- Misogynist, na ni mkandamizaji wa Mwafrika(mtu mweusi) na Mtanzania- He is Racist.

Sihitaji kumjua kwa ukaribu, kamavile anavaa nini, ni mnene au mfupi ana hela ngapi, ameoa au kuolewa au ana gari gani ili niweze kujenga chuki au wivu usiokuwa na miguu wala Kichwa.

...in light


Kuna vitengo vya Serikali, ikiwemo Wizara ya Habari vinatakiwa vimchumguze, kwa umakini mkubwa Huyu hafai katika Jamii yeyote ile.

He has no Moral Authority to Lecture anybody, Dictate to anybody nor does he have the Education or case studies to back-up his so called Articles
ati "Anaandika Robert Heriel"

Una makala yeyote katika Magazeti Tanzania? hili swali lako wewe unauejiita Taikun wa Fasihii?


Kumbukeni viumbe hatari hujificha, mwambieni aje hapa na ajibu na sio kujificha kwenye Ma ID lukuki, kwenye chaka la Wajuaji.


Aluta Continua.
 
Mwambieni huyo huyo Robert Heriel....Kuwa kuna mwanzo na mwisho. Anajua hivyo. Mwisho wake wa kubwatuka bwatuka na kumwaga sumu katika Jamii, unafikia taamati.

Tukaneni matusi yote tu, mkiishiwa na hoja ndivyo mulivyo!!!...maanake ndio mmefikia mbio za sakafuni.

SUMU zake kwenye Jamii ndio zinawawasha, ndizo zinawafumba mach na masikio.


Narudi tena, Robert Heriel ni Mwongo, yaani ni mtu wa kujificha kwenye chaka la Ushetani, ni Shetani. He is a Misogynist twaat Racist and a Bigot.

Kwa mtu "Anayejifanya ndiye" sie.
 
Mchezo wa kujadiliana na Zuzu kuna Wakati ni mtamu
Wapi hapo Unapojadiliana.

Ngoja nikuongezee utamu....

.....Ukiambiwa ukweli, ukipingwa,unaishia kuleta Kejeli na Matusi.

Hakuna lelote ambalo umeleta humu JamiiForums unalolijadili.

Unachofanya, ni kuweka bandiko, unachofanya ni kudhihaki, na baada ya hapo unaleta Asertion zisizokuwa na mshiko, ukishtukiwa unakimbilia kejeli....mjinga, wewe, zuzu wewe, matusi lukuki kuchanganya watu wakuache....bila kujadiliana, badala yake unawasubiri wale mazuzu wenzako waje kukupa kongole, waje kudhihaki....ndio unaita Majadiliano???

Utaumbuka tuu. Njoo upindishe na haya nayo shikilia kidete, haramia wee.

Narudia, Wewe ni Mkimbari, wewe ni Mtia chuki, wewe ni Uchwara tu.

Njooni mjichekeshe chekeshe, mda wenu Umefika!

Haiingii akilini Mtu Ambaye anajidai kuweka Taswira ya kuwa yeye ni Mtanzania, kuwa yeye ni msomi ati "Taikun wa Fasihi" kuwa yeye anyejiweka kuwa ni Mzalendo, kuwa ni mpigania haki, kuwa ni mwalimu wa hili na lile na wakati huo huo anamdhihaki Mama yake, dada yake bibi yake na Mtanzania mwenzake kwa kumuiita 'Malaya' 'Hana la kusema' kwako ' hana mchango wowote kwenye Jamii' na hapo hapo kutandika blanketi kwa Watanzania wote kuwa ni Wajinga....Wewe ni mtu gani, kwa taswira uliyojiwekea Kutokujiheshimu, kutokuheshimu Watanzania wenzako unaodai kuwaelimisha? na makala Uchwara? Na matusi na Kejeli??

Hilo limekaa vipi? Narudia....

Wewe ni mchumia tumbo tuu, wewe ni mtu mwenye chuki chuki wewe ni Misogynist, wewe ni Bigot, mkimbari na haufai katika Jamii yeyote hapa Duniani...

Najua utaenda kujificha ficha kwa mazuzu wenzako huko na kutupa vijembe.

Njooo tujadiliane Man-O-Mano

Njoo Ubishe wewe sio Mkimbari, Njoo Ubishe wewe sio Mchukia Wanawake.
Njoo ubishe unayo hiyo Elimu unayochagiza kwa Matusi, kwa Udhalimu na Chuki

Njoo ubishe ya kuwa wewe sio Mtanzania.....Njoo wewe Haramia!
 
Umesoma toka mwanzo, Umenisoma toka mwanzo?
Personal attack my foot. yeye amefanya nini.?



Unatizama upande mmoja na wewe.
Usinifundishe.
He is and will Remain A Misogynist . Bisha
Mbona kama una hasira sana

Umekula kweli Leo ?
 
Wapi hapo Unapojadiliana.

Ngoja nikuongezee utamu....

.....Ukiambiwa ukweli, ukipingwa,unaishia kuleta Kejeli na Matusi.

Hakuna lelote ambalo umeleta humu JamiiForums unalolijadili.

Unachofanya, ni kuweka bandiko, unachofanya ni kudhihaki, na baada ya hapo unaleta Asertion zisizokuwa na mshiko, ukishtukiwa unakimbilia kejeli....mjinga, wewe, zuzu wewe, matusi lukuki kuchanganya watu wakuache....bila kujadiliana, badala yake unawasubiri wale mazuzu wenzako waje kukupa kongole, waje kudhihaki....ndio unaita Majadiliano???

Utaumbuka tuu. Njoo upindishe na haya nayo shikilia kidete, haramia wee.

Narudia, Wewe ni Mkimbari, wewe ni Mtia chuki, wewe ni Uchwara tu.

Njooni mjichekeshe chekeshe, mda wenu Umefika!

Haiingii akilini Mtu Ambaye anajidai kuweka Taswira ya kuwa yeye ni Mtanzania, kuwa yeye ni msomi ati "Taikun wa Fasihi" kuwa yeye anyejiweka kuwa ni Mzalendo, kuwa ni mpigania haki, kuwa ni mwalimu wa hili na lile na wakati huo huo anamdhihaki Mama yake, dada yake bibi yake na Mtanzania mwenzake kwa kumuiita 'Malaya' 'Hana la kusema' kwako ' hana mchango wowote kwenye Jamii' na hapo hapo kutandika blanketi kwa Watanzania wote kuwa ni Wajinga....Wewe ni mtu gani, kwa taswira uliyojiwekea Kutokujiheshimu, kutokuheshimu Watanzania wenzako unaodai kuwaelimisha? na makala Uchwara? Na matusi na Kejeli??

Hilo limekaa vipi? Narudia....

Wewe ni mchumia tumbo tuu, wewe ni mtu mwenye chuki chuki wewe ni Misogynist, wewe ni Bigot, mkimbari na haufai katika Jamii yeyote hapa Duniani...

Najua utaenda kujificha ficha kwa mazuzu wenzako huko na kutupa vijembe.

Njooo tujadiliane Man-O-Mano

Njoo Ubishe wewe sio Mkimbari, Njoo Ubishe wewe sio Mchukia Wanawake.
Njoo ubishe unayo hiyo Elimu unayochagiza kwa Matusi, kwa Udhalimu na Chuki

Njoo ubishe ya kuwa wewe sio Mtanzania.....Njoo wewe Haramia!
Lakini Na wewe unatumia lugha kali pia sana
Mtoa mada hayupo sahihi kukuita zuzu lakini unatumia lugha kali mno navyosoma maandishi mate yananidondokea unafoka sana mkuu

Una ma idea kibao mkuu mengi mno ila unavuoyawasilisha ni changamoto sana nahisi upo hivyo kwenye maisha ya kawaida pia labda unahisi watu hawakuelewi be calm and present your ideas well

Hata wapumbavu kuna muda wana present idea zao vizuri Unaweza kuta Mtoa mada nae ni mpumbavu ila kawasilisha mada yake vyema watu wameikubali

Usinijibu kwa gazeti mwenzako mvivu kusoma na simu namkabidhi swalehe
 
Lakini Na wewe unatumia lugha kali pia sana
Mtoa mada hayupo sahihi kukuita zuzu lakini unatumia lugha kali mno navyosoma maandishi mate yananidondokea unafoka sana mkuu

Una ma idea kibao mkuu mengi mno ila unavuoyawasilisha ni changamoto sana nahisi upo hivyo kwenye maisha ya kawaida pia labda unahisi watu hawakuelewi be calm and present your ideas well

Hata wapumbavu kuna muda wana present idea zao vizuri Unaweza kuta Mtoa mada nae ni mpumbavu ila kawasilisha mada yake vyema watu wameikubali

Usinijibu kwa gazeti mwenzako mvivu kusoma na simu namkabidhi swalehe
Wapumbavu kama wewe tuu.

Mtaeleweka
Hilo gazeti ulilosoma, soma mpaka ulipoishia, wapenda ndefu watamalizia.
 
Back
Top Bottom