Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi


Sijui kama unaelewa ulichokisema! Kuna 15 presidential candidates. Hivi kama kila candidate atatafuta foreign actors wa kuipa nchi maelekezo, hii nchi itakuwa taifa la aina gani?
 
Mimi ni miongoni mwa wasio na chama, ila kwa barua hizi za kuingilia uhuru wetu toka nje ya mipaka yetu, kura yangu nitampigia Magufuli kwa kweli.

Hii ni dharau kwa uhuru wetu.

Imagine. Tena wanaomshabikia Amstadamz wengi eti ni Wanaume. Dah Tanzania nchi yangu wale wanaume majasiri kama simba wameishia wapi. Yaani wenye misimamo na wanaoweza kuthamini na kutetea utu wao kama wewe Tanzania wamebaki wachache mnooo

Tarehe 28 tukampe 5tena jemadari John Pombe Magufuli
 
Hali ya Libya ikoje sasa? Kwa hiyo, unataka taifa letu nalo liingie kwenye huo mtego, ambao umeinasa na kuiua Libya?
Hayo yapo mikinoni mwa Rais Magufuli
Libya Sasa hivi wale vijana waliokua na kiburi kama kheri james wapo jela wanafanywa vibaya wengine ni wakimbizi
Afadhali Libya kuliko Tanzania ya akina James
 
Sijui kama unaelewa ulichokisema! Kuna 15 presidential candidates. Hivi kama kila candidate atatafuta foreign actors wa kulipa taifa maelekezo, hii nchi itakuwa taifa la aina gani?
Swala siyo kwamba unaambiwa na wangapi,swala ni msingi wa unavyoambiwa & kwenye kesi Hii hoja ya msingi ipo
 
Magufuli mwaka huu ujanja ujanja utampeleka ICC,hakuna pa kujificha
 
Hujui unachokisema. Tembelea Libya ukajaribu kushinda JF kama unavyofanya sasa kisha utupe mrejesho!
Libya mchaka mchaka wake sio mdogo
Wanasema msiba wa wengi harusi
Hakuna cha polepole wa Mavi 8 wala maJames wote kimbembe tu
Lakini bongo kuna watu wanakula kuku wengine wanateseka Sana
Mimi naona kama noma na iwe noma na kama neema iwe neema sio wengine wanaonea wengine
 
Jiwe amepandikiza chuki na mafarakano nchini, uzalendo kwa sasa umeshuka sana
 
Bora kuwekewa vikwazo kuliko kuwa na kiongozi kibaraka au wakala wa wanyonyaji.
Heri kufa masikini kuliko kukubali kuwa mtumwa wa wanyonyaji.
Heri kufa tukiwa tumesimama kuliko kuishi tukiwa tumempigia magoti mnyonyaji.
 

Wewe unayeishi maisha kama ya Libya unawezaje kushinda na sisi hapa JF? Kama kweli unaielewa Libya, tueleweshe juu ya hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…