antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
A country whose innocent citizens are perpetually trampled upon by it's rulers and routinely denied basic human rights and dignity, cannot claim sovereigntyWho is Amsterdam in this sovereign country?
Alafu utamsikia Wana ccm wanaona poa ,mwaka huu mgum Sana,waitaji ,busara sana na sio nguvu ,mwafaa
Vikwazo ndiyo njia pekee beberu mweusi akili humrudi,kama walivyobinywa wakabadili sheria ya takwimuUsishabikie vikwazo...vitakuumiza wewe na jamaa zako. Magufuli hataathirika na chochote.
Unasema Jf hata network Libya hakuna Sasa hio jf utapata wapi?Wewe unayeishi maisha kama ya Libya unawezaje kushinda na sisi hapa JF? Kama kweli unaielewa Libya, tueleweshe juu ya hili.
Kimsingi hii barua imejaa tuhuma ambazo hazija thibitishwa, ni sawa sawa na ile hadithi ya Saddam kuwa na weapons of mass destruction , wakati hazipo.
Nenda ulaya,ingawa najua hutaweza kufika huko mpaka kiama.Tunawataka wazungu sanaaaa kuliko hilo takataka lenu la chattle
Umesema vyemaLibya mchaka mchaka wake sio mdogo
Wanasema msiba wa wengi harusi
Hakuna cha polepole wa Mavi 8 wala maJames wote kimbembe tu
Lakini bongo kuna watu wanakula kuku wengine wanateseka Sana
Mimi naona kama noma na iwe noma na kama neema iwe neema sio wengine wanaonea wengine
Usijidanganye kiasi hicho mkuu,madaraja yatabaki kuwepo tu, kati ya kapuku na mwenye nacho,isipokuwa kwenye swala la kifo.Unasema Jf hata network Libya hakuna Sasa hio jf utapata wapi?
Hivi wewe unafikiri mchaka mchaka wake mdogo?
Wewe sikia tu,,,,, kuna watu walikua na kiburi kama polepole na kabudi Sasa hivi wapo makambi ya wakimbizi wamekua kama mabinti tu
Mimi ile hali naipenda kwa sababu wote mnakua kwenye heka heka mtu kama siro na kiburi chake nammaindi Sana
E bwana ee.. Kama noma na iwe noma
Huu uchaguzi ndiyo dearth penalty ya CCM,baada ya huu uchaguz tegemea CCM wakiomba maridhiano kuepusha mambo kwenda mrama,wakati mwingine ni vyema kuweka ushabiki nyuma na kufikiri sawasawa
Maridhiano ya nini😳?Huu uchaguzi ndiyo dearth penalty ya CCM,baada ya huu uchaguz tegemea CCM wakiomba maridhiano kuepusha mambo kwenda mrama,wakati mwingine ni vyema kuweka ushabiki nyuma na kufikiri sawasawa
Tafuteni nchi ya kuishi baada ya tarehe 28. Raisi JPM
Usijidanganye kiasi hicho mkuu,madaraja yatabaki kuwepo tu, kati ya kapuku na mwenye nacho,isipokuwa kwenye swala la kifo.
Hao wakina bwege ntozeni sio wa kuwajibu hajui hata huko Libya mtoto WA Gaddafi anapambana kuwa RAIS WA nchi hiyo na ni Moja ya watu wali enjoy Maisha enzi za uhai wa Baba yakeUsijidanganye kiasi hicho mkuu,madaraja yatabaki kuwepo tu, kati ya kapuku na mwenye nacho,isipokuwa kwenye swala la kifo.
Angalia lugha ya mwili ya Lissu na alivyo badili upayukaji wake. Leo somanga pamoja na mikwara ya Lissu yote katulizwa na sameja wa polisi na section yake moja tu.
Let’s seeMaridhiano ya nini😳?
Hivi mbona mnapenda kujitoa ufahamu kiasi hiki?
Unasema Jf hata network Libya hakuna Sasa hio jf utapata wapi?
Hivi wewe unafikiri mchaka mchaka wake mdogo?
Wewe sikia tu,,,,, kuna watu walikua na kiburi kama polepole na kabudi Sasa hivi wapo makambi ya wakimbizi wamekua kama mabinti tu
Mimi ile hali naipenda kwa sababu wote mnakua kwenye heka heka mtu kama siro na kiburi chake nammaindi Sana
E bwana ee.. Kama noma na iwe noma
Madhara ya kupiga mabomu mkutano wa kampeni hujayaona?CCM wanasaidiwa na polisi kutengeneza evidence kwamba wanakandamiza wananchi.Think big-Adui wa CCM ni smartphone na internetAngalia lugha ya mwili ya Lissu na alivyo badili upayukaji wake. Leo somanga pamoja na mikwara ya Lissu yote katulizwa na sameja wa polisi na section yake moja tu.
Huyu jamaa ni mwendawazimu! Hivi anafikiri nchi ni Mali ya Magufuli??
Ok ngoja tuone hiyo 28 Okt, Nani atahama nchi!! Pambaf kabsaa!