Wiwachu
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 809
- 924
Jinga ww mbwa ww nyambafu[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]Tafuteni nchi ya kuishi baada ya tarehe 28. Raisi JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinga ww mbwa ww nyambafu[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]Tafuteni nchi ya kuishi baada ya tarehe 28. Raisi JPM
Wakati huo Tanzania ilikuwa koloni la mwingereza na mahakama zilikuwa za mwingereza ndio maana alitumia mawakili waingerezaKumbuka hata nyerere kwenye kesi zake za uchochezi alitumia wanasheria toka Uingeleza
Madini, utalii wateja ni watu kutoka nje ya Tz.Stupid people like you have made Africans be treated badly by white people. Whatever you learned did not educate you, you're just like a lost dog in your own country.
LISU ndie kaandika akampelekea AMSTERDAM asignDaaah jamaa yuko nondo sana yani data zote anazo, kuna vipengele vingine hata mimi raia wa hii nchi nilikua sina aware navyo lakini hiki kichwa kinayajua yote
Hawa Mayanga Construction wanafanya kazi ya kujenga taifa?Kama Lissu ni mzalendo, basi tupo watu wengi sana ambao hatujui maana ya neno mzalendo. Nijuavyo mimi, mzalendo ni muumini wa falsafa ya Taifa Kwanza. Sijawahi kuona mzalendo anayehujumu taifa lake, kwa maslahi binafsi!
Tunataka wazungu waje hapa hii ni nchi yangu nina Uhuru wa kuiuza au kuitumia mbona nyie mmeiuza kwa Mrundi anaua watu wetu hapa Sasa sisi tunauza kwa wazungu wanaojielewa nyambaaaf nyieNenda ulaya,ingawa najua hutaweza kufika huko mpaka kiama.
Wanao andikiwa wataelewa pale watakapokuwa wamevishwa headfones za mahakama ya The Hague huku wakiwa chumba Cha kujibu mashtaka yote ya wazimu wao kwetu. Wewe umeshiba mihogo na makande endelea kumbaja hapo ukistuka uko Jela la Guantanamo farasi mweusiHuo muda anaotumia kuandika hizo insha ni heri angetafuta hata kibarua cha online freelancing.
Nina uhakika hao anaowaandikia hawana hata huo muda wa kusoma huo ugoro!
Una ushahidi kwa haya uliyoongea ?Magufuli ni rais atakayekuwa wa kwanza kutawala awamu moja ndani ya taifa letu zuri.
Amewagawanya watanzania
Amewadharau watanzania
Ameharibu mfumo mzima wa taifa letu huku mambumbumbu machache yakimkenulia meno!
Wengi wamekufa mazingira ya kutatanisha kwenye serikali yake
Kawafunga wengi kisiasa
Serikali yake imetetea ushoga mchana kweupe pee kwa kujitenga na operesheni ya makonda ya kuwasaka mashoga, serikali yake ikaandika barua ya kujitenga na lengo la makonda na ikakiri kwamba mashoga na wasagaji wapo huru Tanzania [emoji17]
Katumia vibaya hazina ya tsifa na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma kwa kiwango cha kutisha!
Amevuruga demokrasia
Kala fedha za rambirambi za watu wa Kagera
Kaliingiza jeshi la polisi na jeshi la wananchi kwenye siasa zake za majitaka
Hatufai hata kwa mwezi mmoja huyu mtu!
Watanzania wapenda haki pamoja na watu wote wapenda demokrasia wamemkataa
Beberu mwisho wake mwezi huu. Shuain zake
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sanaNi aibu sana kwa Chadema kumtumia huyo jamaa hasaidii kitu ndio kwanza anakipeleka chama shimoni!
Ushahidi uletewe wewe hapo gheto?Una ushahidi kwa haya uliyoongea ?
Hiyo the hague ni kwa ajili ya waafrika pekee? Marekani ilitishia kuwawekea vikwazo waendesha mashtaka wa ICC baada ya kutaka uchunguzi ufanyike against war crimes committed by US in Afghanistan. Sisi tukipelekana huko sawa ila wao hapana.... Tutashikwa masikio mpaka lini?Wanao andikiwa wataelewa pale watakapokuwa wamevishwa headfones za mahakama ya The Hague huku wakiwa chumba Cha kujibu mashtaka yote ya wazimu wao kwetu. Wewe umeshiba mihogo na makande endelea kumbaja hapo ukistuka uko Jela la Guantanamo farasi mweusi
Uhuru upi uliopo Tanzania? Tanzania hakuna uhuru sasa kuna Mkoloni mweusi kaburu, ukitaka kujua haupo huru tumiwa pesa toka nje ya Nchi uone BOT wanavyokupora ndipo utajua Tanzania siyo Nchi huru, Uhuru upo Kenya Zambia Uganda na Nchi zingine ambapo Bank kuu hawampori mtu pesa zake na hukuna kubambikiwa kesi kesi wala kupigwa risasi uonevu unyanyasaji kama wa CCMMimi ni miongoni mwa wasio na chama, ila kwa barua hizi za kuingilia uhuru wetu toka nje ya mipaka yetu, kura yangu nitampigia Magufuli kwa kweli.
Hii ni dharau kwa uhuru wetu.
Uweke hapa kila mtu aoneUshahidi uletewe wewe hapo gheto?
Kwa wajinga tu!Dunia ni kijiji mkuu,Uhuru kenyata aliliongelea hili chato,huwez ukaishi chato Alafu ukataka dunia nzima iishi kwa Mawazo ya chato-Lissu Ana exposure na Yupo sahihi sana-haiwezekani wachache waamulie wengine juu ya haki ya uhai,Hii ni kazi ya Mungu tu.
Waafrika ndipo kuna vituko mfano sasa utawala wako kutwa kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani uonevu unyanyasaji uovu mwingi wanawezaje kuikwepa ICC? Safari hii CCM lazima wafikishwe ICC The Hague hakuna namna wataikwepaHiyo the hague ni kwa ajili ya waafrika pekee? Marekani ilitishia kuwawekea vikwazo waendesha mashtaka wa ICC baada ya kutaka uchunguzi ufanyike against war crimes committed by US in Afghanistan. Sisi tukipelekana huko sawa ila wao hapana.... Tutashikwa masikio mpaka lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM hawapewi ushahidi wowote kwani CCM hawaishi kwa Akili zao wanatumia Akili za polepole cyprian Musiba na wengi huishi kwa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM ni vigumu kuwapa ushahidi wakaufanyia kazi.Uweke hapa kila mtu aone
Mtu kama wewe unatafutwa alafu unapelekwa unapostahiliHayo yapo mikinoni mwa Rais Magufuli
Libya Sasa hivi wale vijana waliokua na kiburi kama kheri james wapo jela wanafanywa vibaya wengine ni wakimbizi
Afadhali Libya kuliko Tanzania ya akina James