Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Mjinga mmoja hawezi kuleta huo ujinga wake wa vikwazo.
Hakuna kitu cha maana cha kuwezabkuweka vikeazo eti kwa sababu ya Amsterdam,
Hiyo ni wasi wasi yako.
Kwa mtu anayejua jinsi ya ku shape siasa za Marekani-Washington atamwambia nguvu ya Lobby Firms,hawa jamaa wana ushawishi mkubwa mnoo na ndiyo maana hata ukiangalia tokea jamaa anamwakilisha Lissu Marekani imekua inaongelea siasa za Tanzania kwa ukaribu sana,na jamaa keshasema anakusanya ushahid ili kuapply sanctions kwa viongozi wa serikali kupitia US & UK magnitsky Law-NEC siyo Wajinga wanaporekebisha baadhi ya mambo huyu jamaa anayoyakosowa-& infact Amsterdam keshasema tumesha qualify for sanctions and its a guarantee there will be sanctions.
 
Mjinga mmoja hawezi kuleta huo ujinga wake wa vikwazo.
Hakuna kitu cha maana cha kuwezabkuweka vikeazo eti kwa sababu ya Amsterdam,
Hiyo ni wasi wasi yako.
“Usipende watu wanao kusifia tu,wengine wanakusifia ili uzid kuharibu kabisa”-JK (Lupaso),Soma US sanction law ndo utaelewa kazi za akina Amsterdam.Ni vyema Rais akawa mwelewa na mwenye kusikiliza otherwise Tanzania inaingia shimon baada ya uchaguz na muda wa kuweka mambo sawa unakuwa haupo tena
 
Haha, Amsterdam tena. Hivi wanadhani Lissu atapata nchi kupitia mwanasheria wake. Lissu made a very stupid move. Na huyu Lissu anataka kuiuza nchi, he's not to be trusted!
 
Wewe inaonekana Musiba na Le mutuz walikufanyia kitu kibaya sana. Haiwezekani kila coment unawataja.
Hao watu ndiyo walikwenda na Bashite Dodoma kumpiga risasi Lisu na pia ni wapika Majungu fitna uzushi propaganda wakuu wa CCM kwa wapinzani ni watu wabaya kwa usitawi wa demokrasia ndiyo maana nawataja kila kona kwani ubaya wote tokea CCM wanahusika kwa namna zote
 
Hii comente yako naitunza mpaka siku Magufuli anaapishwa.
Kiukweli hata mimi nilipenda tubadili chama ila kuna vitu viwili vinanifanya niiache CCM ibaki madarakani.

(1) Tanzania hatuna kiongozi wa upinzani mwenye nia ya dhati ya kuibadili nchi yetu.

Tanzania kuna wanaharati wenye ndoto za kuingia ikulu, ili walipe visasi, ndio maana kauli zao ni "Afe ng'ombe afe mmasai lakini wao wawe Marais".

(2) CCM kwa sasa imezaliwa upya.
Hakika CCM kwa sasa wanafanya yale tuliyo kuwa tuna yataka wananchi.
CCM kuzaliwa upya ni kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani? CCM kuzaliwa upya ni kupiga trilion 1,5 kisha kumtoa CAG kafara? Kuzaliwa upya ni Ndungai kupiga bilion 12 peke yake akiwa India?
 
This time police wametengeza ushahidi mzuri Sana wa kupiga mabomu utakaotumika wakati ukifika, hapa boss wao anachomoka vipi sasa kwa ushahidi huu.
 
Namkubali sana Jiwe Kwa kuto washobokea mabeberu

Tunakupa miaka 5 ya mwisho usikanyage Marekani Wala Uingereza ili utuachie historia

Maana kuna watu wanadhani huwezi kuongoza nchi bira ya kuenda Marekani na Uingereza kulia lia nja
 
Huyu ni wa kuswaga kama ng'ombe na kupeleka The Hague tu maanake hamna namna.
 
Dah! Ngoja tuone, ila sababu yeye ni jiwe mambo yataenda hivyo hivyo atakavyo yeye...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom